Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe alipiga kwenye mshono
Kwakweli kufungua Uzi kama ule yatak roho ngumu

Maua nyoko hataki kona kona hata mimi ningeijua ningeifungua sipendi wambea wenzangu wateseke kabisaaa


Kuna mmoja nilimlipua alikuja piem nilicheka nikaenda kufuta comment
 
Humu kunamatango pori ya kwenda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wenye mafile Yao wefungia stoo na funguo wamemezaπŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜…πŸ˜… jf mtu ambae akisema ana file langu naweza rudi nyuma kidogo Depal hata kunifanya niikimbie ID ni huyo tu.. ila wengine wao ndio nitawachania mkekaaa mapemaa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…