Kesho mapema kabisaUnayapitia lini??
I'll be there πKesho mapema kabisa
Nitakua kituoni pale kwa ndevu ninayasubiri
Dr lizy naumwa meninsiwez tafu a iyo samaki meno ya chin yote yanauma as if yanaziba uwazi wa meno kwahiyo unanishauri nini? Dr
Unywele wa kinyaki OG
MweeUnywele wa kinyaki OG
Pole!!!πDr lizy naumwa meninsiwez tafu a iyo samaki meno ya chin yote yanauma as if yanaziba uwazi wa meno kwahiyo unanishauri nini? Dr
Im okay dear vipi weweUko poaah
Mazuri sanaNimepewa maua ya Roma nimshikie!πView attachment 2621944
But i cant be patient in painful for sure hapa tu nishabugia malimau wapi meno yanajivuta sehemu moja tu katikati ya upande wa kulia na kushotoPole!!!π
Kuna jino litakua limetoboka....na inabidi ukalijaze au ung'oe. In the meantime, jaribu kuweka dawa ya mswaki....mie huwa inanisaidia sana. Ila ukiweka lazima liume sana for sometime.
πNaona unanisagia kunguni mkuu mi mbona mgeni jmn acha zako ww
Okay mgeni nisamehe ππNaona unanisagia kunguni mkuu mi mbona mgeni jmn acha zako ww
Rabbit vipi πππ
π₯π₯π₯π₯π₯π₯Rabbit vipi ππ
Unapenda karoti eeh sioπ₯π₯π₯π₯π₯π₯