Selfika na JF: Snap it. Show it

Ukila nyama wanasema kula iliyonona 😜😜😜😜
Weee mtoto ni mzuri na una shepu nzuri. Mashallah
Naona uvivu kupekuwa picha 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 ilikupita ulikuwa wapi tena umekuwa coca? πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Mhh kuna nn humo?tupia pics za ndani tuone
Sina hakika kama ninazo.

Kuna Cassino.
Precision Air
Mgahawa
UTT ofisi zao
escalator inayoishia 2nd floor nadhani
Kuna ofisi nyingi. Me naishiaga floor ya nne.

Siku nitajaribu kufika mpk mwisho πŸ˜‚πŸ˜‚ ila nikiwa na Dr Lizzy , peke angu sina huko kujiamini.
 
Hata roho yanguu ya kizunguuu mbonaa πŸ˜πŸ˜‚! Sijui hata nilipitwa nilikua naswampia wapii walai nilishangaa narudi nakuta unyoyaa Jamani irudiweee irudiweee pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…