Selfika na JF: Snap it. Show it

Saint Anne kheri ya siku ya mfanano wa kuzaliwa ndugu
Ni siku ambayo kwako nahisi itakuwa ya shamlashamla kwa kidogo ulichojaaliwa kulingana na riziki zake Jalaali Insh'Allah

Japo usiwasahau wale waliokufanya ujipongeze kwa siku ya leo , namaanisha baba na mama yako kama wapo wakumbuke leo kwa chochote ila kama hawapo , wakumbuke katika swala na kheri huko waliko.


HAPPY BIRTHDAY DAY


Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…