miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
jamani huyu mkenya na selfie na mtu kajinyonga .. kazi ipo
Anataka kujionyesha kua alikuwepo kwenye tukio!!View attachment 565621
jamani huyu mkenya na selfie na myu kajinyonga .. kazi ipo
ina sikitisha kwa kweliAnataka kujionyesha kua alikuwepo kwenye tukio!!
wamefanyaje mkuu kwani inatisha picha au huyo aliyejiselfie toka kenya huko na maiti?
yani sa hivi unakufa wanakuangaliawatajuaje nayeye alikuepo eneo la tukio
RubiiKimimi
Utu umezikwa mitandao ya kijamii na smartphone zimetuharibuyani sa hivi unakufa wanakuangalia
inabidi tujirekebishe aiseeUtu umezikwa mitandao ya kijamii na smartphone zimetuharibu
RubiiKimimi
mmh wengine wanasema sababu ya NASA kushndwaSababu ya kujinyonga itakuwa BBC=Burnley beat Chelsea 3 goals
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Too bad...mmh wengine wanasema sababu ya NASA kushndwa
yah ila inabidi wawe machoToo bad...
Bahat mbaya mauaji ya kisiasa hadi yaende 1000+
Ndo international com inaanza kushituka
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
mbaya sanaMgonjwa alifariki hospital Mimi nilikuwa na mgonjwa kitanda cha tatu badala ya kutoa taarifa kwa wauguzi walitumia kama saa nzima kupiga selfie na maiti, hadi muda wa kuangalia wagonjwa umeisha hawajatoa taarifa tulishangaa sana sijui tunaelekea wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu walimuacha uso wazi yaani kila mmoja aliyeona hilo tukio alishangaa, tumuombe alietuumba aturudishie Utu wetu maana tumepitwa hata na wanyamambaya sana