Hivi ukiandika uwa unasoma ulichokiandika? Na unategemea mtu akutegeshee namba mtu wa aina yako mwenye akili za namna hii?
Acha shobo.
Unapata wivu hadi kwenye matatizo ya watu?
Mambo unayoyafanya ni ya wadada ambao hawajitambui.
Sasa hii akili yako utegemewe na familia, watatoboa kweli?
Tufanye umeshinda, haya kalale sasa.