Seleman Mdabi anatafutwa

Nakujua sana, na ninajua una orodha ya wana jf unaohitaji kuwapa somo, binafsi sijawahi kuwemo katika hiyo orodha kwa sababu sijavurugana nawe kwa jambo lolote.

Vipi mpaka sasa wamipiga wangapi hiyo namba yako?

Una stress za maisha…
Kama huna la maana kaa kimya.
Unadhani kila mtu anafikiria upumbavu kama unavyofanya!
Na hapo we ni mwanaume umekaa kufikiria ujinga…
 
Una stress za maisha…
Kama huna la maana kaa kimya.
Unadhani kila mtu anafikiria upumbavu kama unavyofanya!
Na hapo we ni mwanaume umekaa kufikiria ujinga…
Unamaanisha kuwa ujinga upo, ukiwa unafikiria kuwa nawaza ujinga bila shaka wewe utakuwa mjinga kuliko mimi.

Binadamu wote ni sawa.
 
Ni kweli hakuna mwenye jipya chini ya jua, ila hatupaswi kuwa kimya, ulileta bandiko tutalipitia na kulitathimini maana hata wewe huna jipya ila hukai kimya.

Hivi ukiandika uwa unasoma ulichokiandika? Na unategemea mtu akutegeshee namba mtu wa aina yako mwenye akili za namna hii?

Acha shobo.

Unapata wivu hadi kwenye matatizo ya watu?

Mambo unayoyafanya ni ya wadada ambao hawajitambui.

Sasa hii akili yako utegemewe na familia, watatoboa kweli?


Tufanye umeshinda, haya kalale sasa.
 
Tufanye umeshinda, haya kalale sasa.
Sijashindana nawe japo wewe umekuja kushindana nami kwa kushambulia maoni yangu.

Nakuelewa vizuri sana so sihitaji kushindana nawe maana sijui kutukana kama wewe 😂

Ulale unono.
 
Sorry huu mwandiko mbona wa kiume
 
Kama haufahamu chochote kuhusu huyo aliyebandikwa picha yake,tafadhari kaa kimya tu.Watu wapo kwenye matatizo,wanamtafuta mpendwa wao,baadhi ya watu mnaleta kebehi,siyo vizuri wadau,japo mna uhuru wa kuandika chochote kile.
 
Nilidhani ni Mtani wangu wa Kiha Mkoani Kigoma Kocha Selemani Matola Veron Mzambia Midevu Mzee wa Para ( Dongo ) na Fegi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…