Selelii agoma kurudi Bungeni!?

Status
Not open for further replies.
Weka heshima kwenye key board yako!

Unafikiri tunaweza kujadili hilo kwel bro? This is very low again from you guys! Grow up and come out, its a kind of fightin a losing battle. Wachangiaji wengi lakini lugha zile zile....what a coincidence ama unataka kusema ni telepathy ? I doubt....Mara nyingi wakuu mtu akipingana na Kijana wa Lowassa basi zile talking "out of school" huanza kuflow pamoja na mipasho. Nasubiria link za youtube.

 


Wako very predictable unajua tu thread inapoelekea wachangiaji watakuwa kina fulani....hahahahahahahaahah na lugha zao zile zile.....you cant fool around JF anymore bro.....ukisoma mara mbili unawajua tu.....

Ninaachana na hii kitu! nitakuwa nachungulia na chukli zangu na wivu wa kijinga....kuna siku nitafanya assignment kupitia post zenye lugha moja ila kutoka kwa wachangiaji wengi

Pamoja!
 
Ungeharibu jamaa is school drop out! SUA wanalijua hili pale Agriculture Engineering.....! Halafu anataka kuingia mjengoni...Ooohh God tusaidie kwa hili hatuhitaji vibaraka wa Lowasa.

Masanilo una maana ya huyu au mnaongelea mwingine?
 
hana tofauti na malaria sugu pia
awa wanadamu wapo kazini kupitia jf
shame on u
 
imbeni nyimbo za tanu basi jaman..............haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!
 
heheheheheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.... wameanzisha nyingine baada ya hii kuwa moto!!! kweli huu mwaka wa tabu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…