mkuu uko sahihi kabisa... Nafanya hivyo kwa kuamini kwamba its only through provocation ndio tunapata rangi kamili ya mtu. Amini kwamba mlengwa amejua afanye nini na tatcitc zake nimezikubali. Usidhani akina malaria sugu, masaka, fmes hawana akili, hapanaKaka, nimesoma michango yako mingi hapa JF, naona kweli hata huo udaktari haukufai kabisa. Unachemka shauri ya mambo madogo utafikiri ni mvuta bangi wa manzese? Daktari kama una hasira hivyo si unaua wagonjwa huko?
Hao unaowatuhumu lete ushahidi wote hapa na wengine tufaidi. Vinginevyo fungua Ze Utamu nyingine ambako ushahidi sio muhimu bali lengo ni kuchafuana tu.
Haya mambo ya kung'ang'ania huyu alifanya hili na yule alienda Monduli bila kuweka hata kaushahidi kadogo sio tabia ya mtu msomi, ni tabia za house wives wakiwa saloon.
Ningekufahamu kwa jina hiyo hospitali yako ningeigopa kama ukoma maana inaelekea umesoma lakini hujaelemika.
Mimi bado nakupa nafasi, lete data za huyo daktari mwenzako tumchambue kama mchele. Lete pia data za huyo aliyeenda Monduli na mwenyewe kama ni kweli tumuumbue. Kama huna kweli unastahili kukaa kimya ili kulinda heshima yako.
kwa anayeuelewa kweli mfumo wa sasa wa nchi hii... huwezi kuleta maendeleo sustainable kwenye jimbo lako kama sera, miongozo na ilani za nchi yetu bado ziko jinsi zilivyo... waliofanikiwa to go around wote ni wenye pesa za kutisha ambazo hazilingani na rekodi zilizopo TRA... tuache ujinga na kudanganyana kwamba kuna mbunge yeyote anayeweza kuendeleza jimbo lake kwa njia safi
its either yuko jikoni anaamua kupindisha plans na kuhamishia barabara, umeme au maji kwake
au ni rich fella to cash a few weak individuals kubadili mipango
au ni msomi aliyebahatika kupata research au fedha za mipango fulani na kuchagua kwao kama pilot
90% ya wabunge waliopo hawawezi kufanya hivyo na hamisi ni mmoja wao
maswali mengine yanahitaji kuangali unauliza ukiwa kwenye media gani!!!!
mkuu uko sahihi kabisa... Nafanya hivyo kwa kuamini kwamba its only through provocation ndio tunapata rangi kamili ya mtu. Amini kwamba mlengwa amejua afanye nini na tatcitc zake nimezikubali. Usidhani akina malaria sugu, masaka, fmes hawana akili, hapana
Jifunze kutambua kwanini weninge ni provovative au wanakera... Ni malengo mkuu... Btw, umesoma michango yangu mingi, ipi' mbona mie sina mcango zaidi ya kujaza posts??
Nasikitika sijawahi kusoma michango yako.... Sijui kwanini???
Na mtakuja wengi sana mwaka huu....
kwa anayeuelewa kweli mfumo wa sasa wa nchi hii... huwezi kuleta maendeleo sustainable kwenye jimbo lako kama sera, miongozo na ilani za nchi yetu bado ziko jinsi zilivyo... waliofanikiwa to go around wote ni wenye pesa za kutisha ambazo hazilingani na rekodi zilizopo TRA... tuache ujinga na kudanganyana kwamba kuna mbunge yeyote anayeweza kuendeleza jimbo lake kwa njia safi
its either yuko jikoni anaamua kupindisha plans na kuhamishia barabara, umeme au maji kwake
au ni rich fella to cash a few weak individuals kubadili mipango
au ni msomi aliyebahatika kupata research au fedha za mipango fulani na kuchagua kwao kama pilot
90% ya wabunge waliopo hawawezi kufanya hivyo na hamisi ni mmoja wao
maswali mengine yanahitaji kuangali unauliza ukiwa kwenye media gani!!!!
Mweee! Mwaka huu watu wana hasira! Ni dalili njema kwa mstakabali wa TZ. Tunahitaji wapiga kuwa waliofura kwa hasira ili wapige kura justifiably!Hata mimi nashindwa kukuelewa, badala ya kudodosa dodosa si sema? Unaogopa nini? Toa madudu yote ya huyo jamaa ili wengine wote wajue.
Lakini kama huna pia kaa kimya kama alivyokuambia huyo jamaa mwingine. Naona kama unaandika mengi sana kwa kuficha ficha. Au na wewe ni fisadi unaogopa kujulikana ulifanya nini huko intern.
Inaelekea una mahasira sana, punguza usije ukapasuka.
Halafu kwa mtaji huu unataka kila mtu abaki hapo bongo?Siyo kila mtu anaweza kukaa na kushinda jalalani....Na pia si lazima wote wawe hapo bngo,huwezi kuweka everything kwenye kapu moja kwani kwa mtaji huo utapoteza kila kitu,kama mkishindwa kushirikiana na wenzenu wa nje,halafu mkaendeleza upuuzi kuna siku watarudi kukutandikeni bakora,nyumbani ni nyumbani tu na haina maana kwamba watu wamesahau kwao,asilimia sitini ya bajeti ya viongozi mnaowachagua inatoka huko waliko hao mnaodai wanabeba box,kuweni makini na kauli zenu na msimtukane mkunga na uzazi ungalipo kwasababu tuna uchungu sana na nchi yetu pia,msidhani kuwa manzese pekee ndo issue,issue ni ujinga na mazoea ya kushinda jalalani bila kuona kama kuna tatizo na huku ukila kuku tu.Uza yote hayo kwa makaburu bana! Waswahili tumeroga hatujui kitu chochote. Uliona wapi wenye akili wanakimbia nchi yao ili wakabebe mabox na kuwaachia wageni wanafaidi nchi yao? Watanzania wote bana! ni vichaa, akili zetu kama za yule mbwa, anabweka kwa mbali huku mwizi anapakua asali tu. Tunawaona wezi kwanini tunapigia kelele USA na sio kuja hapa Manzese tushirikiane na akina Dr. Slaa. Kwanini tunaunga mkono vyama hewa ambavyo hata havijazaliwa badala ya kuunga mkono chama kama CHADEMA ambacho kiko miaka mingi hata kama ni cha ukoo? Ukitaka kushiriki unaenda kuoa mjuu wa Mtei, usijali hata ukiwa na mke tayari, sisi hapa mitala inaruhusiwa. Karibu viongozi wetu wote wana mitala, hata mheshimiwa rais ana kamtala kake anavinjari usiku usiku na kwenye facebook yake anaweka busy. Ukisikia mbongo anasema yuko busy, jua anatongoza au anshughulikia totoz! mpya. Walinzi wanaachiwa washughulikie ile mama ya zamani! Zuma style.
Dr unajibishana na mtu mmoja mwenye majina mengi lakini maandishi yake ni yale yale naye anataka ubunge teh teh teh hapa mwishoni ataishia kukutusi! check ur PM
Masa na wengine wote
Tanzania ni nchi yetu na tusipoipenda na kuihangaikia, tutaishia kuzikwa kwenye makaburi ya maporini wakati baadhi wanazikwa kama vile wameshapitiwa na ufufuko, unfortunately, kuna wenzetu, na ni wapigananji haswa wameamua kutupa magwanda ya upiganaji na kuvaa kanzu za upishi kusaidia kundi dogo lenye kushika nchi.... wamewauza wazazi na ndugu zao na pengine watoto wao kutaka tu kupata nyumba, kuendesha vogue na kupata exemption kwa kupitia bendera za kwenye magari
simpingi mgombea yeyote wa ubunge bali nahoji dhamira... na nimeambiwa siwezi kuhoji dhamira.,.. i disagree, naweza kuhoji!!!! mimi binafsi nimechangia kimawazo kwa wagombea fulani kutengeneza ilani na plan zao hasa kwenye maendeleo ya jamii mazingira na ulinzi!!!
Hii mada inakua ngumu kwasababu kuna mtu/watu, hawataki kuulizwa, kukosolewa au hata kupewa plan B... kuna hata mtu amesema nina jazba wakati sidhani kama unaweza pata jazba kutokana na post... sanasana ni uchungu tu pale unapoona baadhi ya makamanda wanaishia kusahau walipotoka.
kuna mtu ameseama niseme kila kitu.. haiwezekani, hakuna uhuru usio na mipaka na hakuna mstaarabu asiyetumia tafsida!!! cha maana ni ujumbe kufikia hadhira
MY REQUEST TO HAMISI... IF IT IS NOT BROKEN, DONT FIX IT!!!!! MBUNGE WA SASA NI MMOJA WA WACHACHE SANA TANZANIA... USIMPINGE ILI UMPOTEZE KWASABABU YA TAMAA YA WATU WACHACHE
hao wengine siju muheza, mtanzania, kapwani buckreef nk. nafananisha na wacheza shoo tu maana wanatumia lugha kali, kauli za kutunga nk. hasa kutaka nikosee au ninyamaze... NO WAY!!!
TANZANIA IS MY LOVE
Tuko pamoja sana mkuu!
thanks kamanda... actually i thought of naming by baby boy mtanzania, lakini baada ya kuona madudu hapa nimeamua kutomwita hivyo
Ungeharibu jamaa is school drop out! SUA wanalijua hili pale Agriculture Engineering.....! Halafu anataka kuingia mjengoni...Ooohh God tusaidie kwa hili hatuhitaji vibaraka wa Lowasa.
simpingi mgombea yeyote wa ubunge bali nahoji dhamira... na nimeambiwa siwezi kuhoji dhamira.,.. i disagree, naweza kuhoji!!!! mimi binafsi nimechangia kimawazo kwa wagombea fulani kutengeneza ilani na plan zao hasa kwenye maendeleo ya jamii mazingira na ulinzi!!!
mkuu De Novo hili ndiyo nililolisimamia toka mwanzo wa thread hii, watu wanataka kujenga hofu dhidi ya wabunge mashujaa ili katika mabunge yajayo wasitokee wengine wenye kuthubutu kuhoji na kusimamia ukweli kama akina Seleli. Hili lazima tulipinge kwa nguvu zote. Kuna wabunge wengi ndani ya CCM wanaokereketwa na madudu wanayofanya mafisadi lakini kwa uoga wa kushambuliwa kama inavyotokea kwa akina Seleli wameamua kubaki kimya. Na kama wote watabaki kimya tutakuwa tumeshindwa vibaya kama Taifa.
Watu wanaodai wanauchungu na mwendeleo ya wananchi wenzao wanapaswa kuwatia moyo wabunge wenye ujasiri kama Seleli na siyo kuwabeza, kuwapinga na kuwafanyia fitina. Hili si tu kukubaliana na utendaji wao bali zaidi kujenga kizazi cha wabunge shupavu katika kuhoji na kuiadinisha Serikali.
Dhana hii ni ngumu kukubalika, kinachonisikitika imekuwa ngumu kueleweka pia.
Pamoja sana mkuu!
mkuu De Novo hili ndiyo nililolisimamia toka mwanzo wa thread hii, watu wanataka kujenga hofu dhidi ya wabunge mashujaa ili katika mabunge yajayo wasitokee wengine wenye kuthubutu kuhoji na kusimamia ukweli kama akina Seleli. Hili lazima tulipinge kwa nguvu zote. Kuna wabunge wengi ndani ya CCM wanaokereketwa na madudu wanayofanya mafisadi lakini kwa uoga wa kushambuliwa kama inavyotokea kwa akina Seleli wameamua kubaki kimya. Na kama wote watabaki kimya tutakuwa tumeshindwa vibaya kama Taifa.
Watu wanaodai wanauchungu na mwendeleo ya wananchi wenzao wanapaswa kuwatia moyo wabunge wenye ujasiri kama Seleli na siyo kuwabeza, kuwapinga na kuwafanyia fitina. Hili si tu kukubaliana na utendaji wao bali zaidi kujenga kizazi cha wabunge shupavu katika kuhoji na kuiadinisha Serikali.
Dhana hii ni ngumu kukubalika, kinachonisikitika imekuwa ngumu kueleweka pia.
Ungeharibu jamaa is school drop out! SUA wanalijua hili pale Agriculture Engineering.....! Halafu anataka kuingia mjengoni...Ooohh God tusaidie kwa hili hatuhitaji vibaraka wa Lowasa.
Masanilo na chuki zako kwa Mwakalinga zinajulikana. Huyo unayemwita drop out wa SUA unamzidi nini?
Heri hata aliye drop out SUA, kuna mamilioni ya watanzania hata huko kufika SUA tu hawajafika, kwa usomi wako wewe utawaita nini?
Sasa wewe ambaye unajiona sio drop out basi tuambie umefanya nini? Mitanzania mingine ina wivu wa kijinga!
Masa,
Na wewe angalia watakutukana na kukushambulia kwa ID zile zile, usijali lakini msg sent. Shukrani kwa kutupa data za M******n*a. aka mtazania aka mkulima:biggrin1:.
Bro! Buckreef ni Kapwani, ni Mtanzania, ni muheza sio? Ndio ushauri wa PM wa masanilo.
Kumbuka usemi wa JK, akili ya kushauriwa changanya na ya kwako. Utakuja beba ugomvi bure na watu usio wajua kwa kutumia akili ya mwenzako.
Sawa bro! wacha niachane na hii thread maana kila kukiingia mambo ya Kyela hapa huwa hapakaliki. Inaelekea kuna watu wana ugomvi wao toka mashuleni na wanaona JF ndio mahali pa kumalizana.mkuu soma kwanza post uielewe... au basi hata hapo ulipo-quote tu, nimesema hao wengine na sijasema huyo mwingine... pia nimesema nawafananisha na sijasema namfananisha... ndugu yangu, hata hiyo straight language umeshindwa kweli kuisoma na kuielewa?? ni joto la uchaguzi, bias au nini rafiki???
nakuomba sana ndugu yangu soma thead nzima vizuri na post zangu halafu uniambie kama nimesema hivyo... JF ina rules and regs zake, najaribu kuzifuata... hata kama ningekua najua nani yupo kwa ID zaidi ya moja, ningejaribu kutumia screen kusema hivyo. cha maana ni ujumbe kufika kwa mlengwa....
please read kwanza... hayo ya PM ni mengine kabisa na sidhani kama ni sahihi [kwa taratibu za JF] kuleta mazungumzo binafsi jamvini
BUCKREEF, NOTHING BUT LOVE BRO'