king rockie ATL
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 260
- 25
Jamani naombeni mnisaidie mimi nimesoma CBG na nimepata division 1 sasa kuna kozi mbili ambazo naona kuna dalili kubwa za kuchaguliwa ila leo naomba mnisaidie kama nursing iko fresh tukizingatia na maslahi pia,asanteni!