Selection za NACTE awamu ya pili zinatoka lini

Selection za NACTE awamu ya pili zinatoka lini

mzee alpha

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
711
Reaction score
264
Wakuu naombeni kuuliza kwa wale ambao wameomba udahili kwa stashahada na astashahada kwa kozi mbalimbali je wataingia lini chuoni mwaka wao wa masomo unakuwa tofauti na walioingia tarh 25 September? Na pia selection zao zitatoka lini
 
Wakuu naombeni kuuliza kwa wale ambao wameomba udahili kwa stashahada na astashahada kwa kozi mbalimbali je wataingia lini chuoni mwaka wao wa masomo unakuwa tofauti na walioingia tarh 25 September? Na pia selection zao zitatoka lini
Hata hao waliochaguliwa bado hawajapata Joining instruction na wengi hawataripot tar hyo 25
 
Subir dealine ifike hyo tar 1 Oct then tutoe selection.. utailewa yatakayojiri
Nacte mwaka huu inapangia watu vyuo vya serikali tu na kawaid vyuo vya serikali masomo yanaanza mwezi wa kumi na moja sasa wew omba upate nafasi kwanza mda upo mwingi t wa kujiandaa
 
Nacte mwaka huu inapangia watu vyuo vya serikali tu na kawaid vyuo vya serikali masomo yanaanza mwezi wa kumi na moja sasa wew omba upate nafasi kwanza mda upo mwingi t wa kujiandaa
Negative mkuu, kwa mujibu wa tangazo lao lililowekwa linasema masomo yanaanza rasm tarh 25/9,so inaleta mashaka iyo 2nd selection itatoka lini na je kama mtu akichelewa kulipoti chuo, kuna namna inayofanyika ili kumfidia mda ambao hakuwepo
 
Negative mkuu, kwa mujibu wa tangazo lao lililowekwa linasema masomo yanaanza rasm tarh 25/9,so inaleta mashaka iyo 2nd selection itatoka lini na je kama mtu akichelewa kulipoti chuo, kuna namna inayofanyika ili kumfidia mda ambao hakuwepo
Me nadhani hutawakuta wenzio wamekuacha sana.. hata kama wataanza masomo ni cku chache tu, hata vyuo vnafahamu kuwa kuna wanafunz wataripot mwez wa kumi katkati hvyo havitaanza masomo mapema
 
Nimeomba chuo cha bahari dar (dmi) lakini chaajabu sijalipia admission fee na admission officer alinambia ntailipa pindi nitakapo jiunga na chuo, lakini naona kama nimeibiwa, kweli nitadahiliwa bila hiyo fee
 
Back
Top Bottom