fungi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,539
- 4,673
mnataka mkasome ili baadae
muwe mafisadi kama wazazi wenu wa sisiemu! kama ndio hivyo nafuu tuu
msisome kamwe
Dah haya mahaba na huo ukawa yamezidi sasa.Mpaka mtu mzima anajitoa ufahamu kiasi hiki.
mnataka mkasome ili baadae
muwe mafisadi kama wazazi wenu wa sisiemu! kama ndio hivyo nafuu tuu
msisome kamwe
Msomi wewe CCM inaingiaje hapo ?
Hebu tulia tu vitu vyote hivi vyakupotezea muda?
Mi nakuwa bored sana vijana mnapohalakia !
Mbona maisha matamu tu ! Nunua Mpira na jezi kama alivyofanya fungi ! Anapiga zoezi tu
Battery low sahizi kanunua P5 ana surf tu !
kaparo aloizay anavizia wanafu........ No joking buddy Relax !
wana jf tumechoka kuzunguka nyumban vp n lin hii wizra itatupangia shule?
ukitaka waende haraka wakati kipindi chenu wanajitahidi wengi wapangiwe sasa wakikosea kazi.maana kuna mambo mengi.unawafundisha kazi.selection zikiwa tayari mtazipata tuserkali gan hii isiyoenda na wakat