Selection kidato cha kwanza 2017

Selection kidato cha kwanza 2017

Capslock

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
3,098
Reaction score
4,831
Jamani nasikia majina ya darasa la saba waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwakani 2017 yameshatoka.....

Mwenye link ya hayo majina atupie hapa.
 
Jamani nasikia majina ya darasa la saba waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwakani 2017 yameshatoka.....

Mwenye link ya hayo majina atupie hapa.
Mmesikis IT hawana kazi ya kufanya hadi waweke selection za f1 kwenye link
 
Mwenye majina na shule walizopangiwa kidato cha kwanza 2017 wanafunzi waliomaliza darasa la saba wilaya Kinondoni Dar Es Salaam.
 
Naombeni Na Mimi hy link
Mi mwenyewe nimehangaika kuitafta hiyo link sijaipata........naskia selection za darasa la 7 huwa hawaweki online......kwaiyo jaribu kuwasiliana na walimu wa shule aliyokua anasoma huyo mtoto

Au kama unaharaka zaidi ya kuyapata jaribu kuwasiliana na watu halimashauri idara ya elimu......wilaya aliyokuwa anasoma huyo mtoto
 
mwaka huu darasa la 7 wameweka mtandaoni? maana najua kila mkoa walimu wakuu ndio wanachugua wanafunzi means majina ya waliofaulu yanaenda mkoan, ila vizuri kama wamefanya ivo
 
elimu za kuunga na digree za kikuda...bora sikusoma nikachunga mbuzi na ngombe kwa babu....wasomi ni wapumbavu sana
 
Nilidhani hayo majina kila mkoa unapewa mamlaka ya kutoa matokeo na kuwapingia shule!
 
Back
Top Bottom