Sekta ya nyumba imeanza kufufuka kwa kasi chini ya Rais Samia Mama wa Uchumi

Naendelea kuwakumbusha tuu kwamba miaka 6 ya Uongozi wa Awamu ya 5 sekta ya nyumba "Rea estates" ilidorora,Kudoda na kuporomoka kwa kasi ya mwanga hadi kufikia nyumba nyingi huko Dar kuwa empty na matangazo ya benki kupiga bei nyumba yalijaa mitaani na wanunuzi hakuna sababu uchumi iliporomoka na pesa hakuna.

Aidha bei ya ardhi na nyumba ilishuka na biashara hii kiujumla ilivurugika na ikafikia mahala Ukiwa na kiwanja au nyumba kama dhamana banks zikawa zinakataa au unapewa hela kiduchu.

Ni katika awamu ile ndio Posta Mpya ilibakia magofu huku majumba mengi ya ghorofa yakikosa wapangaji nankubakia tupu.

Ujenzi wa miradi mikubwa ya makazi ulisimama mfano Kawe, Morocco Square, Kigamboni ECO Village, magorofa ya mashirika ya pensions nk, Shirika kama NHC, kampuni za ukandarasi wa majengo zilijifia.

Punde si punde Mungu akasikia kilio akamleta Rais Samia Mama wa Uchumi na Mwanamageuzi wa kweli (Reformists) akapiga chini mipango ya Kijima na Kijamaa kwenye uendeshaji wa nchi, akafungua uchumi na kurekesha Imani ya wafanyabiashara na wawekezaji hatimaye uchumi ukaanza kurejea kule kwa enzi ya Jakaya.

Sasa hivi kwa kutumia mfano mmja tuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC kimeanza tena kupata faida na kufufua miradi yake yote iliyokuwa imekwama.

Hongera sana Rais Samia wewe ndio Mama wa Uchumi unaandika historia na alama ya kudumu kwenye mioyo ya Watanzania maana kila sekta inafurahia uwepo wako.

My Take
Ogopa sana Wajamaa, ujamaa ni umaskini na Utapeli.

=====

View attachment 2707848

Shirika la Kimataifa la Fedha (IMF) limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuimarisha utulivu wa kiuchumi wakati ambapo dunia ilikuwa inapitia changamoto mbalimbali ikiwemo janga la Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), vita vya Urusi na Ukraine na mabadiliko ya tabianchi.

Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa IMF, Bo Li baada ya kumaliza ziara yake nchini ambapo amesema “jitihada za haraka za serikali ya Tanzania zilisaidia kudhibiti mfumuko wa bei na kulinda uchumi dhidi ya athari za vita nchini Ukraine.”

Licha ya mafanikio hiyo, taasisi hiyo imeihimiza Tanzania kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani ambayo yatakuza uwezo wa Serikali katika kugharamia huduma za kijamii na kuongeza uwekezaji katika elimu, afya, maji na sekta nyingine muhimu.

Li akizungumza na wawakilishi wa sekta binafsi, asasi za kiraia na wadau wengine wa maendeleo ameeleza kuvutiwa sana na nguvu na uhai wa uchumi wa Tanzania.

Tanzania ni moja ya nchi chache barani Afrika zenye kiwango cha chini zaidi cha mfumuko wa bei ambapo kwa miezi sita mfululizo umekuwa ukishuka kutoka asilimia 4.9 Januari hadi asilimia 3.6 Juni mwaka huu.



Mama yuko kazini
Pumbavu
 
Naendelea kuwakumbusha tuu kwamba miaka 6 ya Uongozi wa Awamu ya 5 sekta ya nyumba "Rea estates" ilidorora,Kudoda na kuporomoka kwa kasi ya mwanga hadi kufikia nyumba nyingi huko Dar kuwa empty na matangazo ya benki kupiga bei nyumba yalijaa mitaani na wanunuzi hakuna sababu uchumi iliporomoka na pesa hakuna.

Aidha bei ya ardhi na nyumba ilishuka na biashara hii kiujumla ilivurugika na ikafikia mahala Ukiwa na kiwanja au nyumba kama dhamana banks zikawa zinakataa au unapewa hela kiduchu.

Ni katika awamu ile ndio Posta Mpya ilibakia magofu huku majumba mengi ya ghorofa yakikosa wapangaji nankubakia tupu.

Ujenzi wa miradi mikubwa ya makazi ulisimama mfano Kawe, Morocco Square, Kigamboni ECO Village, magorofa ya mashirika ya pensions nk, Shirika kama NHC, kampuni za ukandarasi wa majengo zilijifia.

Punde si punde Mungu akasikia kilio akamleta Rais Samia Mama wa Uchumi na Mwanamageuzi wa kweli (Reformists) akapiga chini mipango ya Kijima na Kijamaa kwenye uendeshaji wa nchi, akafungua uchumi na kurekesha Imani ya wafanyabiashara na wawekezaji hatimaye uchumi ukaanza kurejea kule kwa enzi ya Jakaya.

Sasa hivi kwa kutumia mfano mmja tuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC kimeanza tena kupata faida na kufufua miradi yake yote iliyokuwa imekwama.

Hongera sana Rais Samia wewe ndio Mama wa Uchumi unaandika historia na alama ya kudumu kwenye mioyo ya Watanzania maana kila sekta inafurahia uwepo wako.

My Take
Ogopa sana Wajamaa, ujamaa ni umaskini na Utapeli.

=====

View attachment 2707848

Shirika la Kimataifa la Fedha (IMF) limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuimarisha utulivu wa kiuchumi wakati ambapo dunia ilikuwa inapitia changamoto mbalimbali ikiwemo janga la Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), vita vya Urusi na Ukraine na mabadiliko ya tabianchi.

Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa IMF, Bo Li baada ya kumaliza ziara yake nchini ambapo amesema “jitihada za haraka za serikali ya Tanzania zilisaidia kudhibiti mfumuko wa bei na kulinda uchumi dhidi ya athari za vita nchini Ukraine.”

Licha ya mafanikio hiyo, taasisi hiyo imeihimiza Tanzania kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani ambayo yatakuza uwezo wa Serikali katika kugharamia huduma za kijamii na kuongeza uwekezaji katika elimu, afya, maji na sekta nyingine muhimu.

Li akizungumza na wawakilishi wa sekta binafsi, asasi za kiraia na wadau wengine wa maendeleo ameeleza kuvutiwa sana na nguvu na uhai wa uchumi wa Tanzania.

Tanzania ni moja ya nchi chache barani Afrika zenye kiwango cha chini zaidi cha mfumuko wa bei ambapo kwa miezi sita mfululizo umekuwa ukishuka kutoka asilimia 4.9 Januari hadi asilimia 3.6 Juni mwaka huu.



Mama yuko kazini

Kujenga majumba ni upuuzi,magufuli aliwaambia jengeni viwanda sio majumba Bado mnaakili finyu ndio maana magu anabali akili kubwa TZ. Halipo mpa bakharesa eneo ajenge kiwanda Cha sukari ata yy bakharesa alishangaa lakini Leo si hiyo sukari tunatumia Tanzania nzima naakiuza nje madoka yatakuja,Sasa ayo majumba yenu ata njombe ayafiki pia ayaleti ata Dola
 
Naendelea kuwakumbusha tuu kwamba miaka 6 ya Uongozi wa Awamu ya 5 sekta ya nyumba "Rea estates" ilidorora,Kudoda na kuporomoka kwa kasi ya mwanga hadi kufikia nyumba nyingi huko Dar kuwa empty na matangazo ya benki kupiga bei nyumba yalijaa mitaani na wanunuzi hakuna sababu uchumi iliporomoka na pesa hakuna.

Aidha bei ya ardhi na nyumba ilishuka na biashara hii kiujumla ilivurugika na ikafikia mahala Ukiwa na kiwanja au nyumba kama dhamana banks zikawa zinakataa au unapewa hela kiduchu.

Ni katika awamu ile ndio Posta Mpya ilibakia magofu huku majumba mengi ya ghorofa yakikosa wapangaji nankubakia tupu.

Ujenzi wa miradi mikubwa ya makazi ulisimama mfano Kawe, Morocco Square, Kigamboni ECO Village, magorofa ya mashirika ya pensions nk, Shirika kama NHC, kampuni za ukandarasi wa majengo zilijifia.

Punde si punde Mungu akasikia kilio akamleta Rais Samia Mama wa Uchumi na Mwanamageuzi wa kweli (Reformists) akapiga chini mipango ya Kijima na Kijamaa kwenye uendeshaji wa nchi, akafungua uchumi na kurekesha Imani ya wafanyabiashara na wawekezaji hatimaye uchumi ukaanza kurejea kule kwa enzi ya Jakaya.

Sasa hivi kwa kutumia mfano mmja tuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC kimeanza tena kupata faida na kufufua miradi yake yote iliyokuwa imekwama.

Hongera sana Rais Samia wewe ndio Mama wa Uchumi unaandika historia na alama ya kudumu kwenye mioyo ya Watanzania maana kila sekta inafurahia uwepo wako.

My Take
Ogopa sana Wajamaa, ujamaa ni umaskini na Utapeli.

=====

View attachment 2707848

Shirika la Kimataifa la Fedha (IMF) limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuimarisha utulivu wa kiuchumi wakati ambapo dunia ilikuwa inapitia changamoto mbalimbali ikiwemo janga la Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), vita vya Urusi na Ukraine na mabadiliko ya tabianchi.

Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa IMF, Bo Li baada ya kumaliza ziara yake nchini ambapo amesema “jitihada za haraka za serikali ya Tanzania zilisaidia kudhibiti mfumuko wa bei na kulinda uchumi dhidi ya athari za vita nchini Ukraine.”

Licha ya mafanikio hiyo, taasisi hiyo imeihimiza Tanzania kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani ambayo yatakuza uwezo wa Serikali katika kugharamia huduma za kijamii na kuongeza uwekezaji katika elimu, afya, maji na sekta nyingine muhimu.

Li akizungumza na wawakilishi wa sekta binafsi, asasi za kiraia na wadau wengine wa maendeleo ameeleza kuvutiwa sana na nguvu na uhai wa uchumi wa Tanzania.

Tanzania ni moja ya nchi chache barani Afrika zenye kiwango cha chini zaidi cha mfumuko wa bei ambapo kwa miezi sita mfululizo umekuwa ukishuka kutoka asilimia 4.9 Januari hadi asilimia 3.6 Juni mwaka huu.



Mama yuko kazini

Punguza porojo!
Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza
 
Kujenga majumba ni upuuzi,magufuli aliwaambia jengeni viwanda sio majumba Bado mnaakili finyu ndio maana magu anabali akili kubwa TZ. Halipo mpa bakharesa eneo ajenge kiwanda Cha sukari ata yy bakharesa alishangaa lakini Leo si hiyo sukari tunatumia Tanzania nzima naakiuza nje madoka yatakuja,Sasa ayo majumba yenu ata njombe ayafiki pia ayaleti ata Dola
Alikaa miaka 6 anaweza onyesha viwanda vi 5 tuu alivyojenga?

Majumba ni sign ya pesa maskini kama wewe na Magu hamuwezi kujenga Kwa sababu nyie ni maskini wa akili na Mali.

We can show you over 100 big plants built within just two years.

Akili kubwa ilishindwa hata dawati ya Watoto 😁😁😁😁😁
 
Kati ya wale waliopokea zile $100 mil za DP World inasemekana amewekeza kwenye sekta ya nyumba kwa kununua apartments.
Wezi hawanunui apartments ndani ya Nchi Bali Nje ya Nchi sio wapumbavu kama wewe unvyofikiria.

The economy is doing good ndio maana unaona mambo ni 🔥🔥🔥
20230802_122344.jpg
 
Haisaidii kubadili ukweli kwamba Mwendazake was a failed porojolist authoritarian
Huna tofauti na mwendazake nyani haoni kundu lake unajifanya mjuaji kama yeye na huna akili za kufikiri ni limbukeni kama yeye na ushamba tele umekujaa unaandika vitu usivyoelewa ndio hulka ya Watanzania wengi ndio sababu umasikini hautoisha Tanganyika
 
Huna tofauti na mwendazake nyani haoni kundu lake unajifanya mjuaji kama yeye na huna akili za kufikiri ni limbukeni kama yeye na ushamba tele umekujaa unaandika vitu usivyoelewa ndio hulka ya Watanzania wengi ndio sababu umasikini hautoisha Tanganyika
Jibu hoja toa ujinga hapa
Screenshot_20230805-071813_1.jpg
 
Hivi unaelewa kimombo au huelewi kwani kilichoandikwa hapa ungekielewa usingefikiri kinasaidia kukutoa upumbavu wako napata shida sana na kuelewa Tanganyika kuna watu wa namna gani
Hivi unaelewa kimombo au huelewi kwani kilichoandikwa hapa ungekielewa usingefikiri kinasaidia kukutoa upumbavu wako napata shida sana na kuelewa Tanganyika kuna watu wa namna gani
Nimeokota kwenye kizibo chako
 
Naendelea kuwakumbusha tuu kwamba miaka 6 ya Uongozi wa Awamu ya 5 sekta ya nyumba "Rea estates" ilidorora,Kudoda na kuporomoka kwa kasi ya mwanga hadi kufikia nyumba nyingi huko Dar kuwa empty na matangazo ya benki kupiga bei nyumba yalijaa mitaani na wanunuzi hakuna sababu uchumi iliporomoka na pesa hakuna.

Aidha bei ya ardhi na nyumba ilishuka na biashara hii kiujumla ilivurugika na ikafikia mahala Ukiwa na kiwanja au nyumba kama dhamana banks zikawa zinakataa au unapewa hela kiduchu.

Ni katika awamu ile ndio Posta Mpya ilibakia magofu huku majumba mengi ya ghorofa yakikosa wapangaji nankubakia tupu.

Ujenzi wa miradi mikubwa ya makazi ulisimama mfano Kawe, Morocco Square, Kigamboni ECO Village, magorofa ya mashirika ya pensions nk, Shirika kama NHC, kampuni za ukandarasi wa majengo zilijifia.

Punde si punde Mungu akasikia kilio akamleta Rais Samia Mama wa Uchumi na Mwanamageuzi wa kweli (Reformists) akapiga chini mipango ya Kijima na Kijamaa kwenye uendeshaji wa nchi, akafungua uchumi na kurekesha Imani ya wafanyabiashara na wawekezaji hatimaye uchumi ukaanza kurejea kule kwa enzi ya Jakaya.

Sasa hivi kwa kutumia mfano mmja tuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC kimeanza tena kupata faida na kufufua miradi yake yote iliyokuwa imekwama.

Hongera sana Rais Samia wewe ndio Mama wa Uchumi unaandika historia na alama ya kudumu kwenye mioyo ya Watanzania maana kila sekta inafurahia uwepo wako.

My Take
Ogopa sana Wajamaa, ujamaa ni umaskini na Utapeli.

=====

View attachment 2707848

Shirika la Kimataifa la Fedha (IMF) limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuimarisha utulivu wa kiuchumi wakati ambapo dunia ilikuwa inapitia changamoto mbalimbali ikiwemo janga la Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), vita vya Urusi na Ukraine na mabadiliko ya tabianchi.

Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa IMF, Bo Li baada ya kumaliza ziara yake nchini ambapo amesema “jitihada za haraka za serikali ya Tanzania zilisaidia kudhibiti mfumuko wa bei na kulinda uchumi dhidi ya athari za vita nchini Ukraine.”

Licha ya mafanikio hiyo, taasisi hiyo imeihimiza Tanzania kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani ambayo yatakuza uwezo wa Serikali katika kugharamia huduma za kijamii na kuongeza uwekezaji katika elimu, afya, maji na sekta nyingine muhimu.

Li akizungumza na wawakilishi wa sekta binafsi, asasi za kiraia na wadau wengine wa maendeleo ameeleza kuvutiwa sana na nguvu na uhai wa uchumi wa Tanzania.

Tanzania ni moja ya nchi chache barani Afrika zenye kiwango cha chini zaidi cha mfumuko wa bei ambapo kwa miezi sita mfululizo umekuwa ukishuka kutoka asilimia 4.9 Januari hadi asilimia 3.6 Juni mwaka huu.

=======
Ujenzi wa Nyumba 560 za mradi wa Samia Housing Scheme, unaoendelea Kawe, Dsm, umefikia ghorofa ya nne kwa ujumla.

Kwa mujibu wa mmoja wa wasimamizi wa mradi huo Mhandisi George Shanel, kinachoendelea hivi sasa #SHS kwa ujuma, ni usukaji wa nondo, maboksi ya kushikia zege (form work), umwagaji zege, nguzo, beam na slabs kutoka ghorofa ya tatu kwenda ya nne.

aidha, ameongeza kuwa kingine kinachoendelea ni ujenzi wa kuta za tofali kwaajili ya kutenganisha vyumba ghorofa ya pili kufuatia kukamilika kwa ghorofa ya kwanza.

Kazi nyingine inayoendelea ni Uwekaji wa mifumo ya umeme na maji ghorofa ya chini (Ground floor), upigaji wa plasta kwenye kuta za ndani ghorofa ya chini (finishing).

Mradi ulianza Oktoba 2022 unatarajiwa kuisha mapema mwakani.


Mama yuko kazini
Maendeleo mazuri katika sekta yetu ya makazi ni jambo la kujivunia hata kama uwekezaji huu huchukua muda sana kurejesha dhamani ya uwekezaji. Rais Samia ajitahidi pia kutatua kiini cha tatizo kwasababu walio wengi wangependa kuishi kwenye nyumba zao na sio nyumba za kupanga. Kama ingewezekana, gharama za viwanja zinge thibitiwa na serikali, kodi inayotozwa kwenye vifaa vya ujenzi inge angaliwa upya.
 
Back
Top Bottom