Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,935
- 20,197
Real estate ilidorora hapa dar kwasababu ya serikali kuhamia dodoma and not either way.
Mbona hujiulizi kwanini dodoma real estate ilishamiri na viwanja vilipanda bei baada ya serikali kuhamia huko.
Umewahi kujiuliza real estate itakuwa hivyo hivyo dodoma kama serikali ikihamia mbeya au iringa
Mbona hujiulizi kwanini dodoma real estate ilishamiri na viwanja vilipanda bei baada ya serikali kuhamia huko.
Umewahi kujiuliza real estate itakuwa hivyo hivyo dodoma kama serikali ikihamia mbeya au iringa