Sekretariat ya ajira ni kikwazo kwa watanzania sasa

Najijua

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
1,039
180
[h=5]SEKRETARIAT YA AJIRA;

Ndugu zangu napata shaka sana utendaji wa namna wa sekretariat ya ajira. Kuna wadau wameenda kufanya usaili nua kukutana na vikwazo vingi ambavyo vinatoa mashaka ya uafanisi wa chombo hicho.

1. Mtihani wa usaili wanaopewa wa sailiwa huvuja mapema mfano jana wamepewa mtihani wa maandishi watasailiwa morogoro mtihani ni ulele uliofanyika Dar Es Salaam majuma machache nyuma na hakuna lilobadilika
Hapa kukawa na wengine waliopata mtihani huo awali kwa wale waliosailiwa mapema na wengine walioenda wakiwa watupu hawajui hili wala lile. Je, kuna uafanisi na umakini hapa?

2. Baada ya mtihani mchana wanaambiwa mtapigiwa simu kama utatakiwa kwa ajili ya hatua nyingie ya usaili na usipopata simu kwa siku hiyo jioni jihesabu kama umekosa.
Maswali hapa ni je wana uwezo wa kusahisha mitihani ya watahiniwa zaidi ya 2,000 kwa masaa 4 mpaka 6 na kuweza wapigia simu watahiniwa?

3. Kuwaita katika usaili watu kwa nafasi ambazo hawajaomba hili nalo linanipa shaka sana juu ya uchambuzi na weledi wa ndg zetu hawa wenye dhamana ya ajira hapa nchini katika idara za serikali.

4. Kutoa muda mfupi sana wa taarifa ya kuitwa katika usaili, Kuchukua muda mrefu kuita watu katika usaili toka kuwasilisha maombi na tarehe ya mwisho kupita na kuchukua muda mrefu tena kuwaita watu kazini.

Maswali hapa je wamejipanga sawa sawa kufanya kazi hii kwa ufanisi?
Karibuni kwa mitazamo na michango mingine[/h]
 
[h=5]SEKRETARIAT YA AJIRA;

Ndugu zangu napata shaka sana utendaji wa namna wa sekretariat ya
ajira. Kuna wadau wameenda kufanya usaili nua kukutana na vikwazo vingi
ambavyo vinatoa mashaka ya uafanisi wa chombo hicho.

1. Mtihani wa usaili wanaopewa wa sailiwa huvuja mapema mfano jana
wamepewa mtihani wa maandishi watasailiwa morogoro mtihani ni ulele
uliofanyika Dar Es Salaam majuma machache nyuma na hakuna lilobadilika
Hapa kukawa na wengine waliopata mtihani huo awali kwa wale
waliosailiwa mapema na wengine walioenda wakiwa watupu hawajui hili
wala lile. Je, kuna uafanisi na umakini hapa?

2. Baada ya mtihani mchana wanaambiwa mtapigiwa simu kama utatakiwa
kwa ajili ya hatua nyingie ya usaili na usipopata simu kwa siku hiyo
jioni jihesabu kama umekosa.
Maswali hapa ni je wana uwezo wa kusahisha mitihani ya watahiniwa
zaidi ya 2,000 kwa masaa 4 mpaka 6 na kuweza wapigia simu watahiniwa?

3. Kuwaita katika usaili watu kwa nafasi ambazo hawajaomba hili nalo
linanipa shaka sana juu ya uchambuzi na weledi wa ndg zetu hawa wenye
dhamana ya ajira hapa nchini katika idara za serikali.

4. Kutoa muda mfupi sana wa taarifa ya kuitwa katika usaili, Kuchukua
muda mrefu kuita watu katika usaili toka kuwasilisha maombi na tarehe
ya mwisho kupita na kuchukua muda mrefu tena kuwaita watu kazini.

Maswali hapa je wamejipanga sawa sawa kufanya kazi hii kwa ufanisi?
Karibuni kwa mitazamo na michango mingine[/h]

hawa jamaa hata mm nnamashaka nao mambo yao slow mno cjui n kwa nn
 
Back
Top Bottom