Ak 14
Member
- Aug 24, 2016
- 21
- 13
Nimeishi hapo na agriculture,Sina na RuhindaTuliolala Bweni la Kimweri like hapa tujuane duuuh uzi umenikumbusha mbali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeishi hapo na agriculture,Sina na RuhindaTuliolala Bweni la Kimweri like hapa tujuane duuuh uzi umenikumbusha mbali sana
Tuliolala Bweni la Kimweri like hapa tujuane duuuh uzi umenikumbusha mbali sana
Si wanalipa heshima wanasema mzee Nyerere alikuwa analala hapoHivi ilikuaje bweni la Kimweri pekee ndio likapakwa rangi mengine yote hayana rangi.. Milambo, Mkwawa, Ruhinda!
Duuuh ulikuwa mzururaji eeh
Hauwezi kujenga uzalendo wakati huohuo unawabagua baadhi ya wananchi, kisa haukipendi chama chao.
Rangi ya shuka haizingatiwi tenaKwanini ulikua unahama hama hivo?
Sasa mashuka ulikua unabadilishaje.
Sina pako vizuri rangi kila konaHivi ilikuaje bweni la Kimweri pekee ndio likapakwa rangi mengine yote hayana rangi.. Milambo, Mkwawa, Ruhinda!