Sekela chicken

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,111
115,905
Wataalam wa jukwaa hili
hebu kila mtu amwage utaalamu wa kutengeneza
sekela chicken humu.....tupate mlo saafi....

chicken "SEKELA", sina uhakika hili jina sekela lina asili ya wapi katika ulimwengu wa mapishi kama ilivyo chicken tikka n.k..kwa ufupi ni kuku wa kuchoma (grill, bbq sijui vinafanana!).

Mahitaji
Kuku alietolewa ngozi,(vipande, au mzima) kulingana na upendavyo .
Kitungu thoumu na tangawizi3 vijiko ,
Limau au ndimu,
Chumvi kiasi
Binzari 2 vijiko,
Masala ya Tanduri au Garam 2 vijiko
Pilipili mbichi iliyosagwa au black pepper 1kijiko
Ukwaju au vinegar 1/2 kikombe,
Soy sauc 3 vijiko.

Asali au sukari vijiko 3 au kadri unavyopenda radha ya utamu.
Rangi ya chakula(food color) kias (red yavutia zaidi, japo me hupendelea kipapripapri ama kijani) , Ongeza maji kidogo kama mchanganyiko utakuwa mzito sana, baada ya hapo una mloweka kuku wako(vipande, ama aliepasuliwa tu kati) kwenye mchanganyiko kisha una mwacha kwenye friji kwa muda wa masaa mawili. Hapo sekela anakuwa tayari kwa kuchomwa.
 
Sekela chicken?

Siku ukitaka draft la michembe au Nswila nitakuwemo, acha kwa sasa niwe mtazamaji. Kongosho zombie anapikiwa Sekela chicken, waijua weye
 
Last edited by a moderator:
chicken "SEKELA", sina uhakika hili jina sekela lina asili ya wapi katika ulimwengu wa mapishi kama ilivyo chicken tikka n.k..kwa ufupi ni kuku wa kuchoma (grill, bbq sijui vinafanana!).

Mahitaji
Kuku alietolewa ngozi,(vipande, au mzima) kulingana na upendavyo .
Kitungu thoumu na tangawizi3 vijiko ,
Limau au ndimu,
Chumvi kiasi
Binzari 2 vijiko ,
Masala ya Tanduri au Garam 2 vijiko
Pilipili mbichi iliyosagwa au black pepper 1kijiko
Ukwaju au vinegar 1/2 kikombe,
Soy sauc 3 vijiko.
Asali au sukari vijiko 3 au kadri unavyopenda radha ya utamu.
Rangi ya chakula(food color) kias (red yavutia zaidi, japo me hupendelea kipapripapri ama kijani) , Ongeza maji kidogo kama mchanganyiko utakuwa mzito sana, baada ya hapo una mloweka kuku wako(vipande, ama aliepasuliwa tu kati) kwenye mchanganyiko kisha una mwacha kwenye friji kwa muda wa masaa mawili. Hapo sekela anakuwa tayari kwa kuchomwa.
 
chicken "SEKELA", sina uhakika hili jina sekela lina asili ya wapi katika ulimwengu wa mapishi kama ilivyo chicken tikka n.k..kwa ufupi ni kuku wa kuchoma (grill, bbq sijui vinafanana!).

Mahitaji
Kuku alietolewa ngozi,(vipande, au mzima) kulingana na upendavyo .
Kitungu thoumu na tangawizi3 vijiko ,
Limau au ndimu,
Chumvi kiasi
Binzari 2 vijiko ,
Masala ya Tanduri au Garam 2 vijiko
Pilipili mbichi iliyosagwa au black pepper 1kijiko
Ukwaju au vinegar 1/2 kikombe,
Soy sauc 3 vijiko.
Asali au sukari vijiko 3 au kadri unavyopenda radha ya utamu.
Rangi ya chakula(food color) kias (red yavutia zaidi, japo me hupendelea kipapripapri ama kijani) , Ongeza maji kidogo kama mchanganyiko utakuwa mzito sana, baada ya hapo una mloweka kuku wako(vipande, ama aliepasuliwa tu kati) kwenye mchanganyiko kisha una mwacha kwenye friji kwa muda wa masaa mawili. Hapo sekela anakuwa tayari kwa kuchomwa.
the secret ingredient kwenye 'sekela' ni papai bichi au lilioiva kidogo ambalo inabidi ulisage na mashine baada ya hapo you can put your spices depending on your taste. Ginger and garlic make a perfect combination to any additional spices.

note kuku ukimwacha a-marinate kwa muda mref undani ya mixture anaweza momonyoka vipande.
 
Nafikiri ndo hiyo tandoori chicken
ni kukuwa kuchoma kwa viungo mbalimbali

nimekupata stuffed chicken. The Boss wadau wameshakupa majibu hapo juu cha kuongezea si lazima atolewe ngozi halafu marinate inachukua nusu saa tu ili viungo viingie sawasawa kama una prefer baking inachukua almost saa limoja na nusu.
 
Last edited by a moderator:
sekela ni kuku wa kuchoma. anapakwa viungo halafu anachomwa kwa moto mchache. mimi huwa natengeneza sekela siku nikifurahi. simply nawasha jiko la mkaa naweka nyavu za kuchomea kisha juu namuweka kuku aliye tiwa viungo. akishaiva nauliza wapi kilimanjaro baridi. mia
 
Back
Top Bottom