Seif Sharif Hamad: Leo Nilifika Gereza la Segerea Kuwajulia Hali Mhe. Freeman Mbowe na Esther Matiko Wako Imara sana na Hawatarudi Nyuma

Hata mahakama walijua wako imara sana wala si wagonjwa ndio maana wakaifuta dhamana!
Wewe umenufaika nini? zaidi umasikini umekuongezeka na huyo Mbowe unayeona fahari yeye kukaa mahabusu fedha zake zipo palepale na akitoka maisha yake na ufahari wake upo palepale kuliko wewe unayetegemea uliwe Tigo ndio ujipatie ridhiki.
 
Wako imara na hawatarudi nyuma katika kukiuka mashariti ya dhamana maana wao ni untouchable. Umeleweka mzee wa sawasawa!!. Siasa ni kitu cha hovyo sana hapa Maalimu Seif kajipatia,sifa/umaarufu wa kisiasa kwakumtembelea Mbowe na Matiko mahabusu, ama kweli kufa kufaana.
 
Leo tarehe 29 Desemba, 2018 nilifika gereza la Segerea kwenda kuwatembelea na kuwafariji Mhe. Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema, na Mhe. Esther Matiko, Mbunge. Nimewakuta wote wawili wako imara na hawana wasiwasi kuwa haki itaishinda dhulma inayotendwa na watawala dhidi yao.

Nimeitumia fursa ya kuonana na Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Esther Matiko kuwaeleza kuhusu #AzimiolaZanzibar na mikakati ya vyama sita vya siasa kurudisha demokrasia Tanzania. Mhe. Mbowe amenambia yuko pamoja na sisi na akitoka tu gerezani ataungana nasi kuendeleza atakapopakutia.



View attachment 980465
Kuna mtu kamuuliza? Aache kiherehere.
 
Leo tarehe 29 Desemba, 2018 nilifika gereza la Segerea kwenda kuwatembelea na kuwafariji Mhe. Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema, na Mhe. Esther Matiko, Mbunge. Nimewakuta wote wawili wako imara na hawana wasiwasi kuwa haki itaishinda dhulma inayotendwa na watawala dhidi yao.

Nimeitumia fursa ya kuonana na Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Esther Matiko kuwaeleza kuhusu #AzimiolaZanzibar na mikakati ya vyama sita vya siasa kurudisha demokrasia Tanzania. Mhe. Mbowe amenambia yuko pamoja na sisi na akitoka tu gerezani ataungana nasi kuendeleza atakapopakutia.



View attachment 980465
kwani hajabaki huko huko????
 
Ok, kama wako imara sana na hawatarudi nyuma wakae huko huko gerezani huko ndio mbele, wasirudi huku uraiani sbb watarudi nyuma na watakuwa dhaifu..!! Hizi lugha za kutiana moyo wakati ukute hata choo hapati hadi wiki kwa msongo wa mawazo ni kujidanganya.. Matiko lile t@ko kidogo litaisha huko segerea, na nidhamu itarudi, mbowe mwambie akirudi uraiani afuge ndefu nyeupee kama beberu wa kizungu au ISIS kama alivyofanya wakati ule alivyotoka selo kidogo..!! Damu ya Akwilina itawatesa sana, nani aliwaambia waandamanishe watu..!!
Hahaha unachanganya mambo, kesi ya kuandamana bila kibali haiusiani, na Kesi ya Mauaji ya Akwilina. Maandamano yanaweza kuwa chanzo lakini kuua ni kesi tofauti ama aliyeua alikusudia au hakukusudia.
Hivi kwani Mbowe ndiye alifyatua risasi iliyopelekea mauaji ya Akwilina?! Kama siye, aliyefyatua risasi yeye yuko wapi na kesi yake inasikilizwa lini na wapi?!
 
Wee pimbi wa kinyakyusa
Ok, kama wako imara sana na hawatarudi nyuma wakae huko huko gerezani huko ndio mbele, wasirudi huku uraiani sbb watarudi nyuma na watakuwa dhaifu..!! Hizi lugha za kutiana moyo wakati ukute hata choo hapati hadi wiki kwa msongo wa mawazo ni kujidanganya.. Matiko lile t@ko kidogo litaisha huko segerea, na nidhamu itarudi, mbowe mwambie akirudi uraiani afuge ndefu nyeupee kama beberu wa kizungu au ISIS kama alivyofanya wakati ule alivyotoka selo kidogo..!! Damu ya Akwilina itawatesa sana, nani aliwaambia waandamanishe watu..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofauti na seth hawa wamejipanga. Seth alikaabkizembe huku akiamini ameweka serikal mfukoni.
Alipokuja kuotewa akanyooka.
Akina mbowe kama wapinzan hawa wamejiandaa muda wowote wanawekwa ndani so wanajua way out. Ndio maana hawana presha.

Anyway kwa sasa ni watuhumiwa tu.. si wafungwa. uelekeo wa kesi utasema yote.
Wape muda utasikia tu kila kwenye kiraka kunafumuka muulize seth tulijua kama ana puto tumboni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha unachanganya mambo, kesi ya kuandamana bila kibali haiusiani, na Kesi ya Mauaji ya Akwilina. Maandamano yanaweza kuwa chanzo lakini kuua ni kesi tofauti ama aliyeua alikusudia au hakukusudia.
Hivi kwani Mbowe ndiye alifyatua risasi iliyopelekea mauaji ya Akwilina?! Kama siye, aliyefyatua risasi yeye yuko wapi na kesi yake inasikilizwa lini na wapi?!


Chanzo cha mauaji ya Akwilina ni maandamano ya CHADEMA, hiyo ndio source kuu.. Risasi ilipigwa kuwatawanya waandamanaji wasio na kibali yaani maandamano haramu yalio ongozwa na akina Mbowe na Co.. na katika kuwatawanya risasi ilimpata Akwilina sbb ya maandamano yasiyo na kibali.. So Mbowe anatakiwa kujibu hilo na kasema gerezani yuko imara sana kuliko alivyokuwa uraiani.. Sasa kumbe nia yake ilikuwa kuwa aende gerezani, na kheri akae huko huko miaka yote ili awe imara zaidi... Alime mboga mboga na kukamua ng'ombe magereza..🎅🎅🎅🎅🎅 Merry Xmass & Happy New Year 2019
 
Back
Top Bottom