Seif anzisha CUF-ASILIA kummaliza kisiasa Lipumba na CCM yake!

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,468
911,184
Mgogoro ndani ya CUF unapikwa na CCM na Lipumba ni mpiga dili. Huyu Lipumba nguvu yake ni ruzuku ambayo Seif na wabunge wote wakihama CUF na kuanzisha CUF-ASILIA basi Lipumba na waajiri wake wa CCM wataachwa kwenye mataa.

Ukimwangalia hoja za Lipumba ni kumpinga Lowassa sasa hapo si ni CCM imemwajiri awapigie tarumbeta?

Ukimwangalia Msajili wa vyama vya siasa ni kumjenga Lipumba ambaye si mwanachama wa CUF! Haya ndiyo matakwa ya CCM.

Ukiiangalia Mahakama Kuu utaona haina mpango wa kutatua mgogoro wa CUF na inauvutavuta kama ambavyo hadi leo haijauamua ule wa BAWATA ili 2020 mwanaharamu apite.

Seif inabidi akaze buti aanzishe CUF-ASILI ahame na wanachama karibu wote wa CUF na by elections zifanyike na Lipumba abaki na kopo lake akose pakukamua ruzuku.

CCM ikiona yamekuwa makubwa na Lipumba siyo dili tena utashangaa watakavyomhama..."use and dump" is a CCM long established policy!

Wakati ni sasa fanya maamuzi magumu uliokoe taifa na huu utawala wa kiimla!
 
Kumbuka kutakuwa na suala la kusajili kwa msajili wa vyama vya siasa,,, ambapo lazima huyo jamaa anayetumika na system atatumika tena kukwamisha usajili kwa muda mrefu ili kumaliza nguvu ya Seif. Na wanachoogopa ni kumpa nafasi Maalim ya kutulia na kupita kwa wahisani na kukwamisha utawala wa Shein. Pia wanaogopa Maalim asipate nafasi ya kujipanga na wakina Lowasa,,, kwani hawa ni moja ya watu mabingwa wa strategies.
ANachoweza kufanya yeye Seif na timu yake ni kununua chama ambacho tayari kipo na kuhamia huko ,, tayari kwa maandalizi ya chaguzi ya 2020
 
Ni kweli lkn ukumbuke hatakuwa na mbunge hata mmoja maana wote kisheria watabaki cuf ya ccm ambako kuna Lipumba....vu
 
Kumbuka kutakuwa na suala la kusajili kwa msajili wa vyama vya siasa,,, ambapo lazima huyo jamaa anayetumika na system atatumika tena kukwamisha usajili kwa muda mrefu ili kumaliza nguvu ya Seif. Na wanachoogopa ni kumpa nafasi Maalim ya kutulia na kupita kwa wahisani na kukwamisha utawala wa Shein. Pia wanaogopa Maalim asipate nafasi ya kujipanga na wakina Lowasa,,, kwani hawa ni moja ya watu mabingwa wa strategies.
ANachoweza kufanya yeye Seif na timu yake ni kununua chama ambacho tayari kipo na kuhamia huko ,, tayari kwa maandalizi ya chaguzi ya 2020
Kuna namna mbili hapo. Kwanza kujaribu kukisajili chama, Msajili akileta nongwa ni kununua moja ya briefcase political parties na kuibadilisha jina na tatu ni kuhama CUF na kujiunga Chadema wakatengeneza chama kimoja kikubwa cha kushinda uchaguzi 2020.

Baada ya kushinda wakamtimua Lipumba CUF kwa kutumia mbinu zilezile CCM inatumia sasa.
 
Kuna namna mbili hapo. Kwanza kujaribu kukisajili chama, Msajili akileta nongwa ni kununua moja ya briefcase political parties na kuibadilisha jina na tatu ni kuhama CUF na kujiunga Chadema wakatengeneza chama kimoja kikubwa cha kushinda uchaguzi 2020.

Baada ya kushinda wakamtimua Lipumba CUF kwa kutumia mbinu zilezile CCM inatumia sasa.
Upo sahihi lakini kuna mambo mawili makubwa yatatokea hapo
1. Utakuwa unawaachia chama chenye mtaji wa wabunge pande zote mbili kwa Lipumba and Co.
2. Ruzuku yote hao jamaa wataendelea kutafuna kwa miaka iliyobaki ambalo naamini ndio lengo lao ukizingatia Lipumba hakushiriki kabisa kampeni za CUF za 2015.
3. Mwisho brand ya CUF,,ambayo kwa Zanzibar ipo juu sana itakuwa imechukuliwa na huyu jamaa Lipumba and Co.
 
Hivi Lipumba anafamilia kweli?angekuwa hayo isingemluhusu kufanya ujinga huu.
 
Mgogoro ndani ya CUF unapikwa na CCM na Lipumba ni mpiga dili. Huyu Lipumba nguvu yake ni ruzuku ambayo Seif na wabunge wote wakihama CUF na kuanzisha CUF-ASILIA basi Lipumba na waajiri wake wa CCM wataachwa kwenye mataa.

Ukimwangalia hoja za Lipumba ni kumpinga Lowassa sasa hapo si ni CCM imemwajiri awapigie tarumbeta?

Ukimwangalia Msajili wa vyama vya siasa ni kumjenga Lipumba ambaye si mwanachama wa CUF! Haya ndiyo matakwa ya CCM.

Ukiiangalia Mahakama Kuu utaona haina mpango wa kutatua mgogoro wa CUF na inauvutavuta kama ambavyo hadi leo haijauamua ule wa BAWATA ili 2020 mwanaharamu apite.

Seif inabidi akaze buti aanzishe CUF-ASILI ahame na wanachama karibu wote wa CUF na by elections zifanyike na Lipumba abaki na kopo lake akose pakukamua ruzuku.

CCM ikiona yamekuwa makubwa na Lipumba siyo dili tena utashangaa watakavyomhama..."use and dump" is a CCM long established policy!

uko sawa kiongozi, lakini wasogee sogee karibu na uchaguzi

Wakati ni sasa fanya maamuzi magumu uliokoe taifa na huu utawala wa kiimla!
 
Mgogoro ndani ya CUF unapikwa na CCM na Lipumba ni mpiga dili. Huyu Lipumba nguvu yake ni ruzuku ambayo Seif na wabunge wote wakihama CUF na kuanzisha CUF-ASILIA basi Lipumba na waajiri wake wa CCM wataachwa kwenye mataa.

Ukimwangalia hoja za Lipumba ni kumpinga Lowassa sasa hapo si ni CCM imemwajiri awapigie tarumbeta?

Ukimwangalia Msajili wa vyama vya siasa ni kumjenga Lipumba ambaye si mwanachama wa CUF! Haya ndiyo matakwa ya CCM.

Ukiiangalia Mahakama Kuu utaona haina mpango wa kutatua mgogoro wa CUF na inauvutavuta kama ambavyo hadi leo haijauamua ule wa BAWATA ili 2020 mwanaharamu apite.

Seif inabidi akaze buti aanzishe CUF-ASILI ahame na wanachama karibu wote wa CUF na by elections zifanyike na Lipumba abaki na kopo lake akose pakukamua ruzuku.

CCM ikiona yamekuwa makubwa na Lipumba siyo dili tena utashangaa watakavyomhama..."use and dump" is a CCM long established policy!

Wakati ni sasa fanya maamuzi magumu uliokoe taifa na huu utawala wa kiimla!

Hii vita ni vita dhidi ya Ukawa kwa Pamoja na CUF ili kuipunguza nguvu zake kule Zanzibar..Hivo linalo takiwa ni nguvu ya Pamoja ...Haya mambo hayataki ulaini ulaini hawa ccm wameamua kabisa kumtumia lipumba kuvuruga. Wamempa ruzuku ambayo hakuifanyia kazi wala kuitolea jasho.

yeye akiwa amjiuzulu huku akiwa na posho za ccm wenzake wanahangaika kufanya kampenzi na kufanikiwa kupata ushindi ulosababisha ku pata ruzuku . leo setikali ya magufuli ina vunja sheria wazi kabisa kumpa mhuni huyu fedha kinyume cha taratibu.
sasa cha kufanya ni kumsubiri akiwa yeye na wahuni wenzake pale buguruni kumvamia na kimpa kipigo cha paka mwizi...wapigwe na wote wataka kuwepo pale ...akamatwe na alazimishwe kwa nguvu kuandika kuwa amejiuzulu na atamke wazi kuwa amejiuzulu in camera..yaani inatakiwa umafia wa hali ya juu. hata kama atachukuliwa kwa masiku au wiki basi sawa tu.
analazimishwa kujiuzulu na msajili anapelekewa ushahidi wote atekeleze ....akikataa kutamka apate kipigi ambacho hakitamrudisha tena kwenye siasa.
unajua huu uhuni watu cuf wamejitolea hali na mali halafu kuwa laini laini sio sawa.
lazima ashikishwe adabu...
huyu akitiwa adabu wengine hawana mpango wowote..na itakua ndio dawa ya mapandikizi kuja kuleta fujo
 
Mgogoro ndani ya CUF unapikwa na CCM na Lipumba ni mpiga dili. Huyu Lipumba nguvu yake ni ruzuku ambayo Seif na wabunge wote wakihama CUF na kuanzisha CUF-ASILIA basi Lipumba na waajiri wake wa CCM wataachwa kwenye mataa.

Ukimwangalia hoja za Lipumba ni kumpinga Lowassa sasa hapo si ni CCM imemwajiri awapigie tarumbeta?

Ukimwangalia Msajili wa vyama vya siasa ni kumjenga Lipumba ambaye si mwanachama wa CUF! Haya ndiyo matakwa ya CCM.

Ukiiangalia Mahakama Kuu utaona haina mpango wa kutatua mgogoro wa CUF na inauvutavuta kama ambavyo hadi leo haijauamua ule wa BAWATA ili 2020 mwanaharamu apite.

Seif inabidi akaze buti aanzishe CUF-ASILI ahame na wanachama karibu wote wa CUF na by elections zifanyike na Lipumba abaki na kopo lake akose pakukamua ruzuku.

CCM ikiona yamekuwa makubwa na Lipumba siyo dili tena utashangaa watakavyomhama..."use and dump" is a CCM long established policy!

Wakati ni sasa fanya maamuzi magumu uliokoe taifa na huu utawala wa kiimla!
Maalim akitoka na kuanzisha chama chake, lengo la CCM kujidhoofisha CUF litakuwa limetimia!
Huu mpasuko utapelekea CUF Bara ba CUF Zanzibar. Huo utakuwa mwisho wa CUF!
 
Upo sahihi lakini kuna mambo mawili makubwa yatatokea hapo
1. Utakuwa unawaachia chama chenye mtaji wa wabunge pande zote mbili kwa Lipumba and Co.
2. Ruzuku yote hao jamaa wataendelea kutafuna kwa miaka iliyobaki ambalo naamini ndio lengo lao ukizingatia Lipumba hakushiriki kabisa kampeni za CUF za 2015.
3. Mwisho brand ya CUF,,ambayo kwa Zanzibar ipo juu sana itakuwa imechukuliwa na huyu jamaa Lipumba and Co.


Ruzuku watapata vipi? Maalim akiamua kuondoka cuf na hao wabunge wake wanajiuzuru ubunge na uchaguzi utarudiwa upya, hapo Lipumba atakosa ruzuku.

Jawabu hapo ni Seif kununua chama kilichosajiliwa au kujiunga chadema na yeye kuachiwa upande wa Zanzibar aiongoze na kuweka wagombea wake maana chadema upande ule hawana kitu
 
Back
Top Bottom