Seif ana haki ya kushtakiwa

Seif ana haki ya kushtakiwa

Kitendo alichokifanya mgombea urais Zanzibar kwa ticket ya CUF kutangaza kura za Urais alizoletewa na mawakala wake kisheria ana haki ya kushtakiwa kwa sababu ile ni kazi ya ZEC na ZEC ndio wenye mamlaka ya kufanya vile na c mtu mwingn yeyote km jana tulivomsikia Jaji Lubuva alipocma wananchi na wanasiasa hamna haki ya kutangaza matokeo mwenyewe kazi hy ni tume pekee,

Nenda mahakamani kifuu
 
Mamlaka isiyofuata haki ni mamlaka batili.
 
Kitendo alichokifanya mgombea urais Zanzibar kwa ticket ya CUF kutangaza kura za Urais alizoletewa na mawakala wake kisheria ana haki ya kushtakiwa kwa sababu ile ni kazi ya ZEC na ZEC ndio wenye mamlaka ya kufanya vile na c mtu mwingn yeyote km jana tulivomsikia Jaji Lubuva alipocma wananchi na wanasiasa hamna haki ya kutangaza matokeo mwenyewe kazi hy ni tume pekee,

Hivi wapiga kura laki 5 na 30 elfu inachukua siku 3????? Km hamtaki kuchakachua mnataka kufanyaje?km hamko tayari kwa vyama vingi si museme tu!shame on u
 
Mkuu wenye mahaba hawawezi kukuelewa kwa sababu Tumaini la Urais hawana isipokuwa force kingi kama ile aliyotaka kuitumia Mzee mnanionea.
 
KUNA TOfauti gani ya alichokifanya Seif na alichikifanya Makamba january? Tuache kuwa biased
 
hakuna hata mtu mmoja anaeweza kumshataki seif kwa zanzibar, angeshtakiwa na amani mwenye nguvu maana alitamka juu ya jukwaa kua amani sio raisi. hili dafu shein litawezaje kumshtaki
 
Kitendo alichokifanya mgombea urais Zanzibar kwa ticket ya CUF kutangaza kura za Urais alizoletewa na mawakala wake kisheria ana haki ya kushtakiwa kwa sababu ile ni kazi ya ZEC na ZEC ndio wenye mamlaka ya kufanya vile na c mtu mwingn yeyote km jana tulivomsikia Jaji Lubuva alipocma wananchi na wanasiasa hamna haki ya kutangaza matokeo mwenyewe kazi hy ni tume pekee,


Tume haiaminiki.
Tutajichukulia hatua wenyewe.
 
Kitendo alichokifanya mgombea urais Zanzibar kwa ticket ya CUF kutangaza kura za Urais alizoletewa na mawakala wake kisheria ana haki ya kushtakiwa kwa sababu ile ni kazi ya ZEC na ZEC ndio wenye mamlaka ya kufanya vile na c mtu mwingn yeyote km jana tulivomsikia Jaji Lubuva alipocma wananchi na wanasiasa hamna haki ya kutangaza matokeo mwenyewe kazi hy ni tume pekee,

Mbona Makamba anatangaza , hujasema kitu.
 
Kitendo alichokifanya mgombea urais Zanzibar kwa ticket ya CUF kutangaza kura za Urais alizoletewa na mawakala wake kisheria ana haki ya kushtakiwa kwa sababu ile ni kazi ya ZEC na ZEC ndio wenye mamlaka ya kufanya vile na c mtu mwingn yeyote km jana tulivomsikia Jaji Lubuva alipocma wananchi na wanasiasa hamna haki ya kutangaza matokeo mwenyewe kazi hy ni tume pekee,


Mkuu. Sijakuelewa. ANA HAKI ya kushtakiwa au ANASTAHILI kushtakiwa?
 
Kitendo alichokifanya mgombea urais Zanzibar kwa ticket ya CUF kutangaza kura za Urais alizoletewa na mawakala wake kisheria ana haki ya kushtakiwa kwa sababu ile ni kazi ya ZEC na ZEC ndio wenye mamlaka ya kufanya vile na c mtu mwingn yeyote km jana tulivomsikia Jaji Lubuva alipocma wananchi na wanasiasa hamna haki ya kutangaza matokeo mwenyewe kazi hy ni tume pekee,

mkuu kusema ule ukweli CCM hawana chao Zanzibar... Walizoea kuiba, this time Maalim Seif kakomaa.

Yaani kuhesabu kura laki tano ichukue siku nne. CCM imeshikwa pabaya
 
Hivi wapiga kura laki 5 na 30 elfu inachukua siku 3????? Km hamtaki kuchakachua mnataka kufanyaje?km hamko tayari kwa vyama vingi si museme tu!shame on u

Ata mimi ndicho kinachonishangaza !!India nchi kuuubwa sana ilikuwa na wapiga kura milioni 98 na ndani ya siku 5 matokeo yalikuwa tayari,Zanzibar wapiga kura 530000 sijui ZEC wanaitaji siku ngapi ??!!
 
Zec na nec ndio wenye mamlaka ya kutangaza matokeo so matokeo yanayotolewa na mtu binafsi ni fake

Acha usengerema wew kuna ubaya gani sema matokeo ya awali? Mlitaka anyamaze kimya mmchakachue sio yani hilo sasa hivi sahauni
 
Ama kweli nyani haoni kundule.. Bwana Makamba ni haki yake kutangaza matokeo????? maaaninah

Makamba kasema washashinda majimbo 176, na tume inasema mpaka sasa ishasoma majimbo 113, sasa makamba yuko juu ya tume
 
Ukawa wanafanya kila hila ku provoke serikali ili walianzishe fujo.

Wanajijuwa wameshindwa kabisa kwenye Urais.

Tuwavumilie mpaka matangazo yote yatapotangazwa.
 
I hate udhalimu wa ccm,udhalimu ktk kila kitu ,nawaonea sana huruma wakina Mselemu Ally ...hii si sehemu salama kuishi tena.
 
Hiyo yote ni kua hatuna tume huru,ccm ni shetani
 
Kitendo alichokifanya mgombea urais Zanzibar kwa ticket ya CUF kutangaza kura za Urais alizoletewa na mawakala wake kisheria ana haki ya kushtakiwa kwa sababu ile ni kazi ya ZEC na ZEC ndio wenye mamlaka ya kufanya vile na c mtu mwingn yeyote km jana tulivomsikia Jaji Lubuva alipocma wananchi na wanasiasa hamna haki ya kutangaza matokeo mwenyewe kazi hy ni tume pekee,

We ngoja huyo wanamvutia kasi tu,matokeo yakishakamilika tume itamtangaza mshindi,baada ya hapo atashtakiwa aidha kashinda au kashindwa!si unajua kumchinja kobe kwahitaji taiming?!
 
Back
Top Bottom