The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,403
- 103,829
Mkuu. Sijakuelewa. ANA HAKI ya kushtakiwa au ANASTAHILI kushtakiwa?
Hahahaaaaaaa!! Tatizo ni Lugha Mkuu KALABASH
Mkuu. Sijakuelewa. ANA HAKI ya kushtakiwa au ANASTAHILI kushtakiwa?
Kitendo alichokifanya mgombea urais Zanzibar kwa ticket ya CUF kutangaza kura za Urais alizoletewa na mawakala wake kisheria ana haki ya kushtakiwa kwa sababu ile ni kazi ya ZEC na ZEC ndio wenye mamlaka ya kufanya vile na c mtu mwingn yeyote km jana tulivomsikia Jaji Lubuva alipocma wananchi na wanasiasa hamna haki ya kutangaza matokeo mwenyewe kazi hy ni tume pekee,
Ama kweli nyani haoni kundule.. Bwana Makamba ni haki yake kutangaza matokeo????? maaaninah
mkuu kusema ule ukweli CCM hawana chao Zanzibar... Walizoea kuiba, this time Maalim Seif kakomaa.
Yaani kuhesabu kura laki tano ichukue siku nne. CCM imeshikwa pabaya
We ngoja huyo wanamvutia kasi tu,matokeo yakishakamilika tume itamtangaza mshindi,baada ya hapo atashtakiwa aidha kashinda au kashindwa!si unajua kumchinja kobe kwahitaji taiming?!
Ukawa wanafanya kila hila ku provoke serikali ili walianzishe fujo.
Wanajijuwa wameshindwa kabisa kwenye Urais.
Tuwavumilie mpaka matangazo yote yatapotangazwa.
Ama kweli nyani haoni kundule.. Bwana Makamba ni haki yake kutangaza matokeo????? maaaninah
Hivi wee kwel unajua hata matumizi ya neno HAKI??? Kwa hiyo kushtakiwa ni haki yake kiasi kuwa anaweza akaitetea?
Sasa kwani amewakataza ZEC kutangaza, si waendelee tu kutangaza? Hivi yale matokeo yanayobandikwa kwenye kila kituo sio kutangaza huko? Au sheria inasema kutangaza matokeo ambayo hayajapitia makao makuu ya tume?
Zec na nec ndio wenye mamlaka ya kutangaza matokeo so matokeo yanayotolewa na mtu binafsi ni fake
Ukawa wanafanya kila hila ku provoke serikali ili walianzishe fujo.
Wanajijuwa wameshindwa kabisa kwenye Urais.
Tuwavumilie mpaka matangazo yote
yatapotangazwa.
Kitendo alichokifanya mgombea urais Zanzibar kwa ticket ya CUF kutangaza kura za Urais alizoletewa na mawakala wake kisheria ana haki ya kushtakiwa kwa sababu ile ni kazi ya ZEC na ZEC ndio wenye mamlaka ya kufanya vile na si mtu mwingine yeyote, km jana tulivyomsikia Jaji Lubuva aliposema wananchi na wanasiasa hamna haki ya kutangaza matokeo, mwenye kazi hiyo ni tume pekee..
Kazi ya nan hy ZEC Or Seif