MangaPwani
Member
- Oct 5, 2014
- 26
- 1
Kitendo alichokifanya mgombea urais Zanzibar kwa ticket ya CUF kutangaza kura za Urais alizoletewa na mawakala wake kisheria ana haki ya kushtakiwa kwa sababu ile ni kazi ya ZEC na ZEC ndio wenye mamlaka ya kufanya vile na si mtu mwingine yeyote, km jana tulivyomsikia Jaji Lubuva aliposema wananchi na wanasiasa hamna haki ya kutangaza matokeo, mwenye kazi hiyo ni tume pekee..