Wakuu Habari zenu... Niko zanzibar.. Naomba Kujuzwa wap Wanafanya Masaji.. Au mweny Namba ya mtu a naye Fanya private Masaji anitumie inbox... Na bei zao zikoje?
Niko serious wakuu kazi nazofanya ni ngumu.. Kwang Masaji muhimu
Nenda Mazson hotel. Kabla hujaingia ndani ya hotel, upande wa kulia kuna sehemu ya massage. Ukitaka pale au akufanyie kwako ni wewe tu. Ni muda mrefu lakini sijui kama bado wapo.
mi nadhani kwa Zanzibar kama una rafiki yako anafamya kazi kwenye Hoteli za kitalii ongea nae akuunganishe na wadada wa massage kule wapo kibao na wengi wanaishi town
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.