Sehemu ya Kwanza: Ulishawahi kushindana na mwenye akili nyingi?

Nimetoka primary nakimbiza balaa pale shuleni nilikuwa sina mpinzani maana hata mitihani ya Wilaya na Mkoa nilikuwa nakuwa wa kwanza.

Mtihani wa taifa la 7 nikapusua nikaenda boarding form one. Nikakutane na watabe mwenzangu nikapambane nikawa nakuwa namba 1 nikiteleza sana 2 lakini mara chache. Jina likawa kubwa karibu wanafunzi wote wa Jiji wakawa wananijua. Necta nikapiga One ya maana A za kutosha.

Advance Nikapangiwa ILBORU "PCM"Huko nilikutana na njemba zinasoma balaa na uwezo wa hali ya juu. Nakubali wengi walinizidi sana uwezo. Sikuweza hata kuingia top ten ya shule mpaka namaliza.
 
Binafsi katika maisha ya shule
primary School
Nilikuwa sikosi katika Top three, ya wanafunzi waliofanya vizuri KARIBIA miaka yote na kama nilishuka basi ilikuwa Top 5
Na sikuwahi kuzingatia ile kwamb nisomee kweli kweli lakin nachokumbuka na nnachojua mpaka saivi jealous ndiyo iliniweka katika moja ya best students, lakini hii ina maanish akili haikuepo lkini sio vitu vyangu sometimes force ilkuw inahitajika sana tu, lakini kuanzia o level,
Kantalamba boys, nilianza kusoma vitabu kuhusu maisha..
I started to go against jealous na unnecessary Hate kwa wale waliokuwa wanafanya vizuri

Nilichoamua kufanya Ni kutembea na mwendo wangu katika masomo bila kuangalia wengine uku nikiendelea kujitafuta zaidi na nkakuta i love books i love writings, debates
So nilivorudi kwenye masomo nikagundua Me Ni As student kama ntafocus na maisha ya shule pekee lakini kama ntafanya maisha mengine pia ndani ya shule me Ni Average student nikimaanisha Ni Bs plain na C pia

Na kwakuwa Ni ufaulu utanifikisha University niliamua kukubali nafasi yangu Ili niendelee kufanya mambo ninayoyapenda
Matokeo yake sasa
1. Nadhani Ni mwanafunzi ambae from o level hakuna mwanafunzi ambae tulikuwa hatufahamiani sababu As class walikuwa marafiki Cs grade walikuwa marafiki pia, now nipo chuo napewa deals za biashara na WANANGU ambao walizingua form four lakini walikuwa marafiki

2. Amani.. Kati ya watu matokeo yalipotoka tulikuwa wamwisho kuangalia notice board na Me Ni mmoja wao mpka kuna kipindi nilinenepa nilipokuwa A level, Karatu boys Combination CBA

3. Niliishi maisha
Mtu wa tours, safari za wanafunzi, parties, kanisani pia kwaya sometimes nilikuwa nahudhuria sana tu pia katika ishu za kijamii mwenzetu kapata Tatizo lakini Leo nipo nao University ata wale waliokuwa wanajitenga sababu ya ubusy wa shule

As students Ni watu wa muhimu kwenye maisha lakini life ipo na spheres kama tatu,
1.social
2.political
3. Economical
As grade students wanahitaji washauri wazuri sana ase,
Wasikudanganye eti usiishi katika comfort zone itafikia wakati ata kumuomba mwenyezi Mungu wako utaona una waste time kumbe sio kweli,
Fanya maisha, soma, share ideas na watu, marafiki pia wasio marafiki, saa ya mwenyezi Mungu haitabiliki.. Ishi na mbaya zaidi As students grade kisaikolojia utaanza kujiinua sana na kujiona you are very potential kwenye maisha ya kila mtu kumbe sio kweli unajidanganya man, watu wanaishi maisha mazuri sana bila ya wewe, na kuna watu wapo very smart kuliko wewe,

KARIBU SUAView attachment 2508187
Umeandika Vyema.

Kwenye Maisha kuna Sphere kadhaa.

Kuwa Kipanga kwenye Sphere moja haimanishi utatusua kimaisha.

Ndio maana Mwanamziki Mzuri ili afanikiwe anahitaji Management nzuri.

Hata Wachezaji wazuri ni hivyohivyo.

Vipanga wa Darasani, mara nyingi wanakuwa watu wa kawaida mtaani. Sababu ni kukosa management nzuri.

Vipanga kwenye maisha waliofanikiwa ni wale walikuwa managed vizuri.
 
Kuna dogo mmoja alikuwa form two mimi nipo form three....###@$##@## niseme tu kuna watu ni mijituu haswa.
Huyu mwamba nilikuja kujua sio mtu wa kawaida kuna siku moja nilimfundisha mambo ya vector force topic ya form three kwenye physic, kesho yaka akawa ananifundisha mimi
Nikasema sawa tukaenda kujifunza wote music kusolve note alooo kumbee ndo kama maji kwake.

Kitu nilichojifunza kwake ni kutokudharau watu niliowazid umri, ata saa iv mnapaswa kujua kuna kijitu kipo chuo au sekondari ambacho ukikaa nacho, we mwenyewe utakimbia.
 
Ulishawahi kushindana na Mtu mwenye akili darasani?

Kilitokea nini Ulishinda au Alikuzidi?

Unajitutumua, kukesha darasani, Tuition, kununua vitabu.

Lakini wapi jamaa anakuzidi tu na Hatumii Nguvu kubwa.

Kama ilivyo kwenye Mpira, kuna Messi, Neymar, Haaland,

Hata huku darasani kuna watu ambao wana akili kubwa/ nyingi na za asili.

N.B: Kuna Mataifa yana watu wana akili nyingi na kuna mataifa yana watu wana akili ndogo.
Mataifa yenye watu wenye akili ndogo, nkiyafikilia nacheka sana.
 
Umeandika Vyema.

Kwenye Maisha kuna Sphere kadhaa.

Kuwa Kipanga kwenye Sphere moja haimanishi utatusua kimaisha.

Ndio maana Mwanamziki Mzuri ili afanikiwe anahitaji Management nzuri.

Hata Wachezaji wazuri ni hivyohivyo.

Vipanga wa Darasani, mara nyingi wanakuwa watu wa kawaida mtaani. Sababu ni kukosa management nzuri.

Vipanga kwenye maisha waliofanikiwa ni wale walikuwa managed vizuri.
Naisubiri siku mipango yangu ifanikiwe ntarudi mashuleni nikawaambie wadogo zangu wakiwa wanaendelea na mapambano ya shule wasisahau there's so much peace in life, nimeona watu wakiskip churches, watu wakiskip important discussions zinazohusiana na maisha sababa ya shule, watu wakiingia kwenye conflicts na chuki sababu ya Performance mimi sio mkombozi ntawajuza wachache ntakaokutana nao kwenye maisha yangu kabla sijaondoka duniani💜😊
 
Japan inatajwa kuwa ni Taifa lina watu wana Akili nyingi.
mkoa wa Kilimanjaro kwa Tanzania ndio unaongoza kwa kuwa na watu wengi wenye akili nyingi wawe wamesoma au hawajasoma ukifuatiwa na mkoa wa kagera na wa tatu ni mkoa wa Mbeya

Kwa Kenya wajaluo ndio wanaongoza kwa kuwa na akili nyingi wakifuatiwa na wakikuyu na wa tatu ni wakamba wanne wakisiii
 
Daraja la Sekondari,Form four lilinitoa jasho aiseee kila nikirudia chali.Kidogo niachane na habari za masomo.Najivunia kumiliki bundle la vyeti vya O level.
daaah nimesoma comment yako huku nakunywa maji kidogo yapite puani:p
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Habari za shule hata sizijali, Mwanangu ntamwambie afaulu asiwe below average... Ila nachosisitiza ni skills and talent.

Ukiachana na As ulizopata darasani, what can you do? Hicho ndio tunataka
 
Kuna dogo mmoja alikuwa form two mimi nipo form three....###@$##@## niseme tu kuna watu ni mijituu haswa.
Huyu mwamba nilikuja kujua sio mtu wa kawaida kuna siku moja nilimfundisha mambo ya vector force topic ya form three kwenye physic, kesho yaka akawa ananifundisha mimi
Nikasema sawa tukaenda kujifunza wote music kusolve note alooo kumbee ndo kama maji kwake.

Kitu nilichojifunza kwake ni kutokudharau watu niliowazid umri, ata saa iv mnapaswa kujua kuna kijitu kipo chuo au sekondari ambacho ukikaa nacho, we mwenyewe utakimbia.
Natamani kujua huyo "dogo" yuko wapi sasa hivi.
 
Kuna binti tulikua nae o-level mkondo A tulikua wasichana 10 tu ndio tulikua tunasoma sayansi .Alikua na akili sana bad lucky alikua na kifafa.Alifaulu akaenda advance na baadae akaenda bugando university kusomea Radiology lakini huko hali yake kiafya ikawa mbaya wakamtoa.Yupo tu nyumbani nikipatag kalikizo huwa naenda kumsalimia inatia huruma sana aisee
 
Kuna binti tulikua nae o-level mkondo A tulikua wasichana 10 tu ndio tulikua tunasoma sayansi .Alikua na akili sana bad lucky alikua na kifafa.Alifaulu akaenda advance na baadae akaenda bugando university kusomea Radiology lakini huko hali yake kiafya ikawa mbaya wakamtoa.Yupo tu nyumbani nikipatag kalikizo huwa naenda kumsalimia inatia huruma sana aisee
Ooh Pole yake maskini.
 
Back
Top Bottom