Sehemu ya kuuza chakula/chips inapangishwa sinza mori

Sehemu ya kuuza chakula/chips inapangishwa sinza mori

Kiriba

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2013
Posts
540
Reaction score
258
Kuna sehemu yakuuzia chakula na kutengeneza zile chips kama za Kinondoni inapangishwa. Eneo liko Sinza Mori karibu na Big Bon. Kuna fremu kubwa yakutosha, uwanja wakutosha na maji ya bomba yako muda wote. Pembeni yake kuna Pub mpya.

Mkodishaji anatakiwa atengeneze supu asubuhi, shakula cha mchana, supu jioni an usiku atengeze chips/kuku wekundu/mishikaki/rojo/chapati za kipemba/kichori etc.

Anaye hitaji tuwasiliane ili tuweke terms vizuri.
 
naona unatupangia vitu vya kuuza
ilitakiwa ufanye kazi yako ya kutuambia gharama ya kodi!
 
Taja gharama ya kodi na weka picha ya eneo kama uko serious...!!
 
Kuna sehemu yakuuzia chakula na kutengeneza zile chips kama za Kinondoni inapangishwa. Eneo liko Sinza Mori karibu na Big Bon. Kuna fremu kubwa yakutosha, uwanja wakutosha na maji ya bomba yako muda wote. Pembeni yake kuna Pub mpya.

Mkodishaji anatakiwa atengeneze supu asubuhi, shakula cha mchana, supu jioni an usiku atengeze chips/kuku wekundu/mishikaki/rojo/chapati za kipemba/kichori etc.

Anaye hitaji tuwasiliane ili tuweke terms vizuri.
du we Hitler wa ukweli ,badala ya kunadi kwa ufasaha biashara yako unaanza kututishia kuwa lazima tuuze chapatti za kipemba ,kuna majini umeyaweka wapo ili yale hicho chakula au!
 
du we Hitler wa ukweli ,badala ya kunadi kwa ufasaha biashara yako unaanza kututishia kuwa lazima tuuze chapatti za kipemba ,kuna majini umeyaweka wapo ili yale hicho chakula au!

Kichori ndo nini jamani???
mweee nimecheka sana
 
Kichori ndo nini jamani???
mweee nimecheka sana
Hahhhhaah sio kichori nadhani alimaanisha kachori vile viaz vilivyopondwa pondwa na kuviringishwa kama goroli flani ivi mixer pilipili
 
Hahhhhaah sio kichori nadhani alimaanisha kachori vile viaz vilivyopondwa pondwa na kuviringishwa kama goroli flani ivi mixer pilipili

Nimependa ulivyoielezea kachori yani pale uliposema pili pili mweh !
 
Achana na kachori bana... Madam kuna pub basi nije niuze kitimoto hapo... Kachori na Gambe wapi na wapi?
 
katika hizo terms zako inawezeka kwa faza house free kuanzia breakfast lunch na chakula cha usiku maana una force lazima awe mpangaji mpishi ahahahahahaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom