Sehemu ya kupima UKIMWI Dar kesho!

and 300

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
26,359
36,355
Wakuu, nimepata zigo nataka nikalitindue kesho mapema tu, pamoja na kwamba tutatumia zana lakini nataka "kuhakiki" afya zetu, hivi ANGAZA watakuwa wazi na mapumziko haya ya mwisho wa mwaka kweli? maana kwa ugwadu/ashki nilizo nazo nahisi hata hiyo zana itapasuka.
 
Yaani sipati picha maana nimemkamia nimeshalipia na chumba pale PICNIC VILLA opposite stand ya Mawasiliano/Simu2000.
 
Wakuu Wacha nikamie tu maana nna njaa ya papucchi toka November 2015
 
Mkamia maji hayanywi,,,ila kupima ukimwi ni ushamba sana.unapima ili iweje sasa?unapima unataka nini hasa? Mtu huumwi wala nni,sasa unataka kujua kitu gani? Kitendo cha wewe kutoumwa means huna ukimwi
 
Mkamia maji hayanywi,,,ila kupima ukimwi ni ushamba sana.unapima ili iweje sasa?unapima unataka nini hasa? Mtu huumwi wala nni,sasa unataka kujua kitu gani? Kitendo cha wewe kutoumwa means huna ukimwi
Stress za Bodi ya Mikopo zinanitosha kwa nn nijiongezee ukimwi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom