0655 338128
Nipigie kama unataka kujaza wino
Anaefahamu sehemu wanapojaza wino wa printer (refill) katika jiji la Dar anijulishe plz.
Nunua tu refill kits kariakoo wanauza kama elf 20 vichupa vya rangi 3 unakuwa unajijazia mwenyewe, siyo vigumu, kama vipi nenda youtube ujifunze mkuu. Mtu akikujazia labda atakucharge elf 10, wakati ukinunua kit yako kwa 20k unajaza mara kibao!
dah unachosha sana wewe lolmkuu mtaa wa chaga uko wapi?