Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,599
Pa kutolea haja kubwa!!
Kwa Dares-salaam kila kitu kina liwa ....
Pa kutolea haja kubwa!!
Matumbo au utumbo?? Kuku ana matumbo kweli?? hebu nifafanulie kidogo!!
Kama ni utumbo hebu pitia mitaa ya Kigogo na Tandale uone ilivyo deal!!
basi itabidi tumkamate kuku pamoja,tumpike na kumkaanga wote pamoja,tutajua wapi hailiwi
hivi ile sehemu ya kuku iliyonyanyuka kule kwenye naniii,halafu inakuwa na mafuta inaliwa?
Watu wanafurahisha sana.
Hivi unakuwa unafikra gani kuamua kwenda kununua miguu ya kuku, kichwa au miguu ya ng'ombe(makongoro) huku nyama unaacha?
Akina nani wale nyama halafu wewe ule miguu?
Kistobeli ha ha ha kile kinauzwa sh 100 halafu vinapendwa kwel
Watu wanafurahisha sana.
Hivi unakuwa unafikra gani kuamua kwenda kununua miguu ya kuku, kichwa au miguu ya ng'ombe(makongoro) huku nyama unaacha?
Akina nani wale nyama halafu wewe ule miguu?