Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Violence is not caused because of rigging. Violence exists because people are convinced that someone has stolen the election, whether or not its true. The mob doesn't kill someone because he is a thief, but because they believe he is a thief.
Shida yenu mnamnyang'anya ushindi. Ndiyo maana mkamuua yule jamaa muaminifu Musando mkakimbia na kiganja chake ili mkaharibu system.
Ni dhahiri mno kuwa kifo cha bw Msando lina uhusiano na kazi na waadhifa aliyo kuwa nayo IEBC. Kila naposikia hizi stori za chanzo cha kifo chake na wanao jaribu kumwekea lawama yule mwanamke nakumbuka jinsi vyombo vya habari ba serikali ya moi walivyojaribu kutuziba macho kuhusu kifo cha Mh. Robert Ouko mwaka wa 1990. Wakati ule walisema alijiondoa uhai yeye mwenyewe kwa kujipiga risasi, kujitesa, kujitubukiza ndani ya Sulphuric acid na hatimaye kujilaza karibu na shamba lake kule kisumu. Yaani hata toto la chekechea hawezi kudanganyika hivyo. Kifupi, umekosea hapo kaka kuhusu nani kamuua Msando, tuwape familia yake pole zetu na tufanye bidii kupata wauaji.Nani kamuua? Acheni kueneza uvumi, uchunguzi unafanyawa.
Pengine kauawa na upinzani. Walimtuhumu sana kwa madai ya kupanga kusaidia serikali kuiba kura.
Pia kuna mnong'ono fulani ya kwamba ilikuwa ni deal ya kibiashara iliyotibuka kuhusiana na tenda za equipment hapo Iebc.
Pia, kuna uwezekano it was a crime of passion, alikuwa na yule kipusa..
Alll those possibilities arr being investigated.
It is not fair to point the finger of blame at the govt, they cld be very innocent.
Speak in English please!!!Go to hell! Kwani hata akishindwa katika uchaguzuzi wa huru na haki apewe tu kiti?
Wewe wacha zako, kura ya wananchi ndiyo itakayoamua.
Ni dhahiri mno kuwa kifo cha bw Msando lina uhusiano na kazi na waadhifa aliyo kuwa nayo IEBC. Kila naposikia hizi stori za chanzo cha kifo chake na wanao jaribu kumwekea lawama yule mwanamke nakumbuka jinsi vyombo vya habari ba serikali ya moi walivyojaribu kutuziba macho kuhusu kifo cha Mh. Robert Ouko mwaka wa 1990. Wakati ule walisema alijiondoa uhai yeye mwenyewe kwa kujipiga risasi, kujitesa, kujitubukiza ndani ya Sulphuric acid na hatimaye kujilaza karibu na shamba lake kule kisumu. Yaani hata toto la chekechea hawezi kudanganyika hivyo. Kifupi, umekosea hapo kaka kuhusu nani kamuua Msando, tuwape familia yake pole zetu na tufanye bidii kupata wauaji.
Post sent using JamiiForums mobile app
Nice username and cute avator
He was murdered, period! It's all about who stood to gain most from his death, that's where we should start. Anything else is a sideshow.But the circumstances surrounding Msando death, all those are possibilities which can not be ruled out.
You're putting words in ma mouth. Wapi nimesema akishindwa apewe? What I believe ni kwamba hata akishinda, hatapewa. Kuliko apewe mtachapana. I have no doubt on that.Go to hell! Kwani hata akishindwa katika uchaguzuzi wa huru na haki apewe tu kiti?
Wewe wacha zako, kura ya wananchi ndiyo itakayoamua.
He was murdered, and it hasnt been established by whom and why...but all the fingers of blame are pointed at the govt as though they are the only ones with the motive and the monopoly of meting out such violence in this country.He was murdered, period! It's all about who stood to gain most from his death, that's where we should start. Anything else is a sideshow.
Sent using Jamii Forums mobile app
You're putting words in ma mouth. Wapi nimesema akishindwa apewe? What I believe ni kwamba hata akishinda, hatapewa. Kuliko apewe mtachapana. I have no doubt on that.
Mjaluo hatakaa apewe nchi. Anything else except presidency. Kikuyus are attributed to the freedom fighting and independence of Kenya, certainly, they've sworn not to let their country go to dogs. I'm just sayin
Nani kamuua? Acheni kueneza uvumi, uchunguzi unafanyawa.
Pengine kauawa na upinzani. Walimtuhumu sana kwa madai ya kupanga kusaidia serikali kuiba kura.
Pia kuna mnong'ono fulani ya kwamba ilikuwa ni deal ya kibiashara iliyotibuka kuhusiana na tenda za equipment hapo Iebc.
Pia, kuna uwezekano it was a crime of passion, alikuwa na yule kipusa..
Alll those possibilities arr being investigated.
It is not fair to point the finger of blame at the govt, they cld be very innocent.
Jamaa has departed us, we should be consoling his fam, and not cooking conspiracy theories. All i know is that an important official has been brutally murdered days before an election .Call me anything, but this is certainly tied to his position at IEBC. Remember, he reported to the police threats on his life and demanded protection, which he was denied. Days later, he lost his life. We should stop this culture of trying to defend inexcusable atrocities because of our political or other inclination. Our primary identity is human, so we must subordinate ourselves to all the things that attempt to degrade our humanity. Call out BS for what it is : BS.He was murdered, and it hasnt been established by whom and why...but all the fingers of blame are pointed at the govt as though they are the only ones with the motive and the monopoly of meting out such violence in this country.
He was hopping from one tv station to the next to defend the Iebc against the opposition allegations that the body was planning to aid the govt win the elections thru the KIEM systems. What if the opposition did it to turnish the image of the govt to the voters and lend credence to their claims about the govt plot to rig the elections?
He was fair, I dint call him a crook. He defended the voting electronic system that he had created that it was almost infallible and virtually impenetratable by the nefarious forces seeking to manipulate the outcome of the elections.Acheni kuvuruga ushahidi.
The guy was fair and straight. Alikataa katakata kuhujumu uchaguzi huu. Wenyewe walifikili ni Kivuitu style au Jecha. Huyu alikuwa hanunuliki kirahisi. Very sad, halafu ni kijana m'bichi tu.
Jamaa has departed us, we should be consoling his fam, and not cooking conspiracy theories. All i know is that an important official has been brutally murdered days before an election .Call me anything, but this is certainly tied to his position at IEBC. Remember, he reported to the police threats on his life and demanded protection, which he was denied. Days later, he lost his life. We should stop this culture of trying to defend inexcusable atrocities because of our political or other inclination. Our primary identity is human, so we must subordinate ourselves to all the things that attempt to degrade our humanity. Call out BS for what it is : BS.
Sent using Jamii Forums mobile app
No one will go to the streets my fren...labda jubilee i lose ....raila will not go to the streets so far they havent pulled put of the election meaning they trust IEBC upto this point ...and with the measures put inplace by IEBC for elections sioni kama kutakuwa na riggingThere will be no violence like some idiots are praying. The few losers who will go to the streets crying will be given a through beating
Kama haupendi Rao sio lazma umtrush its not like he hasnt done a thing for this country.....i dont remember Uhuru kenyatta Sleeping in Jail for 10yrs for civil rights movement in this country .......that is what most people in some place in Kenya dont see and hate a guy because he is in opposition.Hehe..unachoombea Bongo sikijui. Yani mtaishi kwa shida sana.