Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,452
Msaada ninaomba mnipe muangaza kuhusu simu hizo zinazodai secure boot download agent file
CHIEF MKWAWA kcamp Castr agudev Mtwara Smart
Mgg3
CHIEF MKWAWA kcamp Castr agudev Mtwara Smart
Mgg3
Yani hizi DA files zinatumika wakati gani ,na files nyingine kama vile scatter files zinatumika wakati gani.Simu inayotaka DA file ,make sure unakua na DA sahihi ya simu yako kisha utaload kweny tool ndio uendelee na task yako
Zimejaa mtandaoni kibao..unataka DA ya simu gani?
Yani hizi DA files zinatumika wakati gani ,na files nyingine kama vile scatter files zinatumika wakati gani.
Samahani mkuu kwa maswali mengi mimi ni mgeni kama kwenye haya mambo bado najifunza sina hata miezi miwili.
What is Download Agent? How to Use MTK Secure Boot DA file?
Today in this blog post, we will guide you on how you can use these Download Agent Files with special flashing tools. So keep reading to the lastwww.getdroidtips.com
Soma hapo mkuu nahis maswali yako yote yamejibiwa...