FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
- Thread starter
- #41
Nadhani FL, hupaswi tu kumshangaa. Hebu tueleze baadaye wewe ulimsaidiaje? au utamsaidiaje au ndo unaendelea kumshangaaa!!
Kweli mie sijamsaidia lolote mpaka sasa ndo naona huu ushauri wa wadau najaribu kufikiria cha kufanya :A S 39: