Secret admirer; hii ipo jamani?

poleni sana na majukumu wanajamii, wale mnaoanza weekend leo hongereni sana

kutokana na stress nyingi zinazoniandama katika dunia hii, mimi natafuta (secret lover) mpenzi wa kuchati nae tu tafadhali naomba nielweke!

umri wowote ilimradi asiwe chini ya 18
awe anajua kuchat vizuri na yuko very sharp
pia awe anajua mapenzi maana most of the time we shall be talking about love
awe single tafadhali
la mwisho awe mrembo :A S-rose:

PM au email ppisces26@ymail.com

naomba kuwasilisha

Wewe una lako jambo
 
poleni sana na majukumu wanajamii, wale mnaoanza weekend leo hongereni sana

kutokana na stress nyingi zinazoniandama katika dunia hii, mimi natafuta (secret lover) mpenzi wa kuchati nae tu tafadhali naomba nielweke!

umri wowote ilimradi asiwe chini ya 18
awe anajua kuchat vizuri na yuko very sharp
pia awe anajua mapenzi maana most of the time we shall be talking about love
awe single tafadhali
la mwisho awe mrembo :A S-rose:

PM au email ppisces26@ymail.com

naomba kuwasilisha

into that field I shall not enter
 
Weekend imeanza Alhamisi ? halafu tunasema hatuendelei ? sasa kama kuchat tu mbona masharti mengi secret,very sharp,mrembo anyway good luck.

mkubwa bongo w'end huanza alhamisi...bado hujajua tu hilo
 
mmmh ok nadhani wamekupata and wata do the neadfull,sasa umesema wa kuchat tu,urembo wa nn hapo?alafu vipi kuhusu vocha utakuwa unaprovide vocha na topic ya kuchat each day?nina mdogo wangu wa 18yrs she is good in chatting lkn sitaki gharama ya kununua vocha.
 
mmmh ok nadhani wamekupata and wata do the neadfull,sasa umesema wa kuchat tu,urembo wa nn hapo?alafu vipi kuhusu vocha utakuwa unaprovide vocha na topic ya kuchat each day?nina mdogo wangu wa 18yrs she is good in chatting lkn sitaki gharama ya kununua vocha.
Hahaha! yaani unampeleka swala kwa simba mwenyewe ?
 
Nenda Jolly Club, San Siro, au Ohio, hata Q-bar, wapo wasichana wenye sifa zaidi ya hizo
- warembo,
- wapo sharp,
- wanajua ku-chat
- wapo single
- wanajua kuogelea ngono kwa saaana
- wanaweza kutoa additional service(s)
 
Wewe wa kike kiume?...................................Uko tayari kununua Simu?, Laptop na moderm kwa ajili ya kuchat?
pia allowance kwa muda utakao tumika?
 
mmmh ok nadhani wamekupata and wata do the neadfull,sasa umesema wa kuchat tu,urembo wa nn hapo?alafu vipi kuhusu vocha utakuwa unaprovide vocha na topic ya kuchat each day?nina mdogo wangu wa 18yrs she is good in chatting lkn sitaki gharama ya kununua vocha.

naomba mnielewe basi waheshimiwa..mrembo maana kubwa nilimaanisha mwanamke! yap vocha atapata tu but si zile za ki-fataki fataki
 
poleni sana na majukumu wanajamii, wale mnaoanza weekend leo hongereni sana

kutokana na stress nyingi zinazoniandama katika dunia hii, mimi natafuta (secret lover) mpenzi wa kuchati nae tu tafadhali naomba nielweke!

umri wowote ilimradi asiwe chini ya 18
awe anajua kuchat vizuri na yuko very sharp
pia awe anajua mapenzi maana most of the time we shall be talking about love
awe single tafadhali
la mwisho awe mrembo :A S-rose:

PM au email ppisces26@ymail.com

naomba kuwasilisha
Ungekuwa wazi tu kwa kusema unataka msichana mrembo wa kuchat nae nadhani usingepata maswali mengi kama uyapatayo sasa,hata hivyo bado unatia shaka kutokana na vigezo ulivyoweka kutoendana na hali uitakayo,kuwa wazi na utasaidiwa ukitakacho.
 
Back
Top Bottom