mokoloko Member Joined Mar 15, 2016 Posts 75 Reaction score 71 Sep 30, 2016 #1 Kama hizo post hazitolewi semeni watu wafanye mambo mengine kiliko kukaa kusubiri mambo ambayo hatuna uhakika Nayo....
Kama hizo post hazitolewi semeni watu wafanye mambo mengine kiliko kukaa kusubiri mambo ambayo hatuna uhakika Nayo....
florian michael Member Joined Jul 11, 2016 Posts 96 Reaction score 53 Sep 30, 2016 #2 Bora waseme ili nikasome hata madrasa nacho ni chuo
mokoloko Member Joined Mar 15, 2016 Posts 75 Reaction score 71 Sep 30, 2016 Thread starter #5 romney mrutu said: Nenden jkt Click to expand... Ndo waseme sasa kama ni kwenda jkt twende kiroho safiiiii...
romney mrutu said: Nenden jkt Click to expand... Ndo waseme sasa kama ni kwenda jkt twende kiroho safiiiii...
ejk Member Joined Jul 19, 2016 Posts 31 Reaction score 2 Sep 30, 2016 #6 Next week zinatoka kijana tuwe na subira