sangaone19
Member
- Apr 21, 2016
- 33
- 7
dah c mnadhan kuna raha njoeni mtaisoma namba....krbun UDSM
Yani mda mwingine unataman cjui ata ufanyaje abt tcu... Inaboajeee???TCU jamani basi inatosha! mtatuua kwa presha!
Enough is enough!
Toeni selection basi!
Tcu tushakoma jamani!
Mbona mnatufanyia ivyo!
Mbona mnatupa mateso!o
Hata tukila hatushibi!
Sawa bana mungu anawaona lakini!!!!!![]()
Yani mda mwingine unataman cjui ata ufanyaje abt tcu... Inaboajeee???

Si ungerudiNakumbuka nlikua na mzuka wa selection hivi hivi... baada ya kwenda chuo ndani ya semester moja tu nikatamani kurudi nyumbani
Nakumbuka nlikua na mzuka wa selection hivi hivi... baada ya kwenda chuo ndani ya semester moja tu nikatamani kurudi nyumbani
Nikikosa awamu ya pili naenda kusoma madrasa nacho ni chuo tosha

Mmmmmh mbona tunaanza kutishana sasahahaha! waache na wao waende mbona watakuwa kama wewe tu, chuo hakina mjanja hata kama uliwahi kuwa Tanzania one
nakumbuka tulikua tunasoma kozi za mechanics yaaani nlikua sielewi kabisa... kidogo niondoke kwa kweli... nikakaza buti kiume nikagongwa ka C na sasa nimemaliza daaaaah chuo si mchezo kabisahahaha! waache na wao waende mbona watakuwa kama wewe tu, chuo hakina mjanja hata kama uliwahi kuwa Tanzania one