mozambiqueone
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 238
- 122
Habari.
Tafadhali, duka lipi hapa Dar seat covers za magari zinauzwa, zikiwa ni zile imara.
Nilifika Kariakoo, duka la kwanza nimezikuta. Tshs 240,000 inashuka hadi 220,000.
Duka la pili naambiwa uliyoona kule ni feki, mimi nakuuzia 200,000 ambayo niliambiwa duka la kwanza ni 240,000.
Duka nyingine tena, 270,000 hii ni kama imara fulani hivi.
Hofu ikaja, ile ya kwanza sikuielewa, je hakuna imara zaidi ikiwa ile ya kwanza niliambiwa ni imara, nikakuta hii nyingine tofauti, kumbe naweza pata nyingine tofauti zaidi. Muda wangu sio mwingi sana kuweza kuzunguka sana. Ndo nakuja hapa.
SASA MWENYE UZOEFU NA HILI HAPA DAR NIPE KILE UNAKIFAHAMU JUU YA UBORA/ UIMARA, DUKA LIPI NA BEI YA KAWAIDA NI IPI.
Ni Harrier old model
Tafadhali, duka lipi hapa Dar seat covers za magari zinauzwa, zikiwa ni zile imara.
Nilifika Kariakoo, duka la kwanza nimezikuta. Tshs 240,000 inashuka hadi 220,000.
Duka la pili naambiwa uliyoona kule ni feki, mimi nakuuzia 200,000 ambayo niliambiwa duka la kwanza ni 240,000.
Duka nyingine tena, 270,000 hii ni kama imara fulani hivi.
Hofu ikaja, ile ya kwanza sikuielewa, je hakuna imara zaidi ikiwa ile ya kwanza niliambiwa ni imara, nikakuta hii nyingine tofauti, kumbe naweza pata nyingine tofauti zaidi. Muda wangu sio mwingi sana kuweza kuzunguka sana. Ndo nakuja hapa.
SASA MWENYE UZOEFU NA HILI HAPA DAR NIPE KILE UNAKIFAHAMU JUU YA UBORA/ UIMARA, DUKA LIPI NA BEI YA KAWAIDA NI IPI.
Ni Harrier old model