CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Wadau angalia commissioners wanavyomhoji mgombea wa nafasi hiyo Kenya_ KBC live.
Yani hata kwetu inahitajika iwe hivi. Watu wa apply wafanyiwe interview live apatikane mtu competent ambaye hatokuwa mpambe wa mtu maana hakuwekwa na mtu yoyote.Wadau angalia commissioners wanavyomhoji mgombea wa nafasi hiyo Kenya_ KBC live.