Wasalaam Aleikum.
ninaomba maelezo kuhusu fibre cable mpya iliyotandazwa na seacom-
kwa matarajio yangu na maelezo toka kwa wajuzi ,nilitegemea internet speed ingeongezaka maradufu lakini speed naona ni ile ile .mimi natumia BB ya TTCL,OS ni Window XP 9
Hivyo naomba elimu kidogo kuhusu haya mambo na ushauri kuhusu speed
ninaomba maelezo kuhusu fibre cable mpya iliyotandazwa na seacom-
kwa matarajio yangu na maelezo toka kwa wajuzi ,nilitegemea internet speed ingeongezaka maradufu lakini speed naona ni ile ile .mimi natumia BB ya TTCL,OS ni Window XP 9
Hivyo naomba elimu kidogo kuhusu haya mambo na ushauri kuhusu speed