julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,339
- 4,567
kwanza tunasimama bila mpangilio kwenye kuweka hela kwenye kadi.maaana mwenye nguvu ndio anaweka hamna utaratibu wa folen.walizn wenu wapo ndan wanacheki azam tv. feni haziwak kama leo.
mnajua wabongo mpaka weelekezwe. kwann askar wenu wale wasiwe mmoja anakaa kuweka utartibu maana mtu anakuja mgonjwa ila mpaka apate hela kwenye kadi inakua ngumu. na feni nazo muwe mnawasha
mnajua wabongo mpaka weelekezwe. kwann askar wenu wale wasiwe mmoja anakaa kuweka utartibu maana mtu anakuja mgonjwa ila mpaka apate hela kwenye kadi inakua ngumu. na feni nazo muwe mnawasha