Abubakar Abdallah
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 281
- 170
. .. Asalam aleikum, naomba tujuzane hapa kuhusu taasis zitoazo scholarship za uarabuni,na hata kwa kushare magroup ya watsap pia
Pita kuleUarabuni!!!!, bado hamjakoma wala kujifunza yaliyowapa wenzetu huko Libya! Haya buana nenda ila usijelialia yatakapokukumba huko.
Ulikwendaje mkuuUarabuni pazuri sana. Nlishaenda abudhabi, na dubai nlitamani kuzamia, ila ndo hivyo hao jamaa hutoa kafara za watu wageni