wadau hv ni shule gani nzuri ambayo wanafundisha form five pia wana programme za ku-resit form four. nataka nimpeleke dogo amepata 4 ya 27 na ana credit moja tu ( C)
Kama una fedha ya kuchagua Shule, kwanini usimpeleke Chuo akaanze Certificate? kwa maana ku resit na baadaye kupata principle angalau mbili ni probability kuliko kupitia certificate ambapo huwa tunahesamu muda tu m2 apate degree.
Kama una fedha ya kuchagua Shule, kwanini usimpeleke Chuo akaanze Certificate? kwa maana ku resit na baadaye kupata principle angalau mbili ni probability kuliko kupitia certificate ambapo huwa tunahesamu muda tu m2 apate degree.[/QUOTE chuo staki kumpeleka coz bado mdogo hajakomaa akili ni mtoto wa kike , huko chuo anaweza kutana na watu wazima wakamlaghai
Kama una fedha ya kuchagua Shule, kwanini usimpeleke Chuo akaanze Certificate? kwa maana ku resit na baadaye kupata principle angalau mbili ni probability kuliko kupitia certificate ambapo huwa tunahesamu muda tu m2 apate degree.[/QUOTE chuo staki kumpeleka coz bado mdogo hajakomaa akili ni mtoto wa kike , huko chuo anaweza kutana na watu wazima wakamlaghai
chuo ctak kumpeleka mana bado mdogo ni mtoto wa kike hajakomaa akili , ujue chuo watu wazima wengi so mambo pia mengi
Ok, Mkuu lakini ni kumuomba Mungu tu maana, Vishawishi vipo sehemu zote kwa maana siku hizi Dunia imekwisha maana watu wanatokeana hata baada ya kutoka ktk ibada.chuo ctak kumpeleka mana bado mdogo ni mtoto wa kike hajakomaa akili , ujue chuo watu wazima wengi so mambo pia mengi
chuo ctak kumpeleka mana bado mdogo ni mtoto wa kike hajakomaa akili , ujue chuo watu wazima wengi so mambo pia mengi
Kwa hiyo unataka kumkomaza kwanza wewe mwache akakomazwe na wengine bana.
Kwa hiyo unataka kumkomaza kwanza wewe mwache akakomazwe na wengine bana.
acha lugha chafu
humtakii mema, kama huku kwenye mteremko amepiga four huko cambridge si ndiyo itakuwa balaaa-atazungusha saba mara sabiniajiunge na shule zinazotumia syllabus ya cambridge kama ana re~seat,au kunyoosha cheti.mambo yamekaa sawa kuliko necta.ajaribu mt.kilimanjaro school iliyopo moshi.
wadau hv ni shule gani nzuri ambayo wanafundisha form five pia wana programme za ku-resit form four. nataka nimpeleke dogo amepata 4 ya 27 na ana credit moja tu ( C)
mkuu waweza pitia hii thread https://www.jamiiforums.com/jukwaa-.../221758-form-4-na-wengine-angalieni-hapa.htmlBy structuralist![]()
![]()
Mkuu nashukuru sana kwa ufafanuzi wako. Hata hivyo kwa kuwa umetoa nafasi ya kujazia sehemu ambayo labda inamabadiliko yafuatie,nafikiri nijikite kwenye mambo mawili
1:Mkuu kwa ufahamu wangu,hairuhusiwi tena mtu kuendelea na 4m 5 na wakati huohuo akiwa anarisit. Hii ni kwasababu ili ufanye mtihani wa kidato cha sita lazima uwe umekaa darasani miaka miwili toka umalize kidato cha nne,hivyo basi ukijiunga na 4m 5 huku unarisit hiyo miaka miwili haitatimia.
2:Hairuhusiwi tena kuunga unga vyeti,mfano mtu alikuwa na c mbili then arisit ili apate moja aunganishe na zile mbili za mwanzo,swala hilo haliwezekani tena. Hii ni kwa sababu ili mtahiniwa aruhusiwe kufanya mtihani kidato cha sita lazima awe amepata angalau crediti 3 O-level kutoka kwenye kikao kimoja ( ie 3 credits in o-level at the same sitting). Hii inamaanisha mtu akiamua kurisit anayakana matokeo yake na anatafuta mengine,na kwa mfano kama mtu alikuwa na c mbili na zilizobaki ni D halafu akarist assume akapata tena C mbili na D nne labda na F moja,hawezi kuanga hayo matokea akadai eti ana C nne kwasababu zimepatikana kwenye vikao tofauti(miaka tofauti). Hata hivyo lazima nikiri kwamba taratibu za kuunga vyeti zilikuwa zinatumika hapo nyuma lakini kwa ufahamu wangu ni kwamba kwa sasa zimefutwa. Kwahiyo kama mtu ana C mbli hawezi kwenda form 5, na akiamua kurisit ajue ni kama anaanza kazi upia. So kama kuna mtu hali hii inamgusa aangalie hayo mambo.