Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 372
- 119
Habari gani Wana JF
SCHOOL MANAGEMENT SYSTEM inahitajika. Kwa wale ambao watakuwa hawajanielewa, ni mfumo unaorahisisha mambo mengi katika shule kama vile udahili, kuajiri, rekodi ya vitumbalimbali ikiwemo miundombinu, vifaa n.k, taarifa za malipo ya ada, mishahara, taarifa za kitaaluma, report na mambo mengine kwenye shule Kama hayo.
Mwenye nayo au anayefahamu Kampuni inayojihusisha na mfumo huu tuwasiliane tafadhali.
Bajeti yetu ni 300,000/= Online na 500,000/= Offline. Bei hii ni kwasababu shule yetu Bado ni mpya na tuna madarasa mawili tu.
Contact: 0657605875.
SCHOOL MANAGEMENT SYSTEM inahitajika. Kwa wale ambao watakuwa hawajanielewa, ni mfumo unaorahisisha mambo mengi katika shule kama vile udahili, kuajiri, rekodi ya vitumbalimbali ikiwemo miundombinu, vifaa n.k, taarifa za malipo ya ada, mishahara, taarifa za kitaaluma, report na mambo mengine kwenye shule Kama hayo.
Mwenye nayo au anayefahamu Kampuni inayojihusisha na mfumo huu tuwasiliane tafadhali.
Bajeti yetu ni 300,000/= Online na 500,000/= Offline. Bei hii ni kwasababu shule yetu Bado ni mpya na tuna madarasa mawili tu.
Contact: 0657605875.