Scholarship south Africa - Ushauri

Njaa

JF-Expert Member
Dec 6, 2009
1,013
391
Hello wakuu

Nimepata scholarship fulani ambayo ipo kwenye project fulani kule south Africa (University of Johannesburg), sasa mshiko wenyewe ni Rand 5500 kila mwezi kwa ajili ya malazi, chakula, matibabu na mambo ya kibinafsi. Kwa wale wanaojua mambo ya South naomba ushauri, je huu mshiko unatosha kuishi na kufanya masters south? Maana mshahara wangu utakata hapa Bongo na familia yangu itaendelea kunitegemea.

Please nishauri vyema nisije nikaingia kwenye choo cha kike, (1Rand = 200 Tsh)

Nawakilisha.
 
Kwa haraka haraka tu,ingawa cjawah kufika SA bt kiasi hcho cha pesa nahisi ni kidogo sana kwa kuishi tena nchi ya ugenin!
 
kwani wewe unaonaje? unaweza kuafford hiyo 1.1m kila mwezi? jua kama course duration ni exactly 1yr utahitaji around 13.2m
 
Hello wakuu

Nimepata scholarship fulani ambayo ipo kwenye project fulani kule south Africa (University of Johannesburg), sasa mshiko wenyewe ni Rand 5500 kila mwezi kwa ajili ya malazi, chakula, matibabu na mambo ya kibinafsi. Kwa wale wanaojua mambo ya South naomba ushauri, je huu mshiko unatosha kuishi na kufanya masters south? Maana mshahara wangu utakata hapa Bongo na familia yangu itaendelea kunitegemea.

Please nishauri vyema nisije nikaingia kwenye choo cha kike, (1Rand = 200 Tsh)

Nawakilisha.

Unaweza kwenda kisha ukapata na kibarua huko S.A na maisha yakaenda.Mi nimesoma kule nikipata rand 2500 kwa mwezi na nilipo maliza masomo nimerud bongo nina house 2 nzuri. Ili upate kazi tempo usiwe ni Muathirika wa HIV.Utapeta NENDA
 
Unaweza kwenda kisha ukapata na kibarua huko S.A na maisha yakaenda.Mi nimesoma kule nikipata rand 2500 kwa mwezi na nilipo maliza masomo nimerud bongo nina house 2 nzuri. Ili upate kazi tempo usiwe ni Muathirika wa HIV.Utapeta NENDA

Like! Hii ndio njia nzuri ya kutoa nasaha!
 
Kumbe inawezeka kusoma huko na kufanya kazi?
Unaweza kwenda kisha ukapata na kibarua huko S.A na maisha yakaenda.Mi nimesoma kule nikipata rand 2500 kwa mwezi na nilipo maliza masomo nimerud bongo nina house 2 nzuri. Ili upate kazi tempo usiwe ni Muathirika wa HIV.Utapeta NENDA
 
R5500 zitakutosha wewe binafsi kuishi maisha ya kawaida kwa malazi ,chakula na usafiri. Utaweza kupata nyumba nzuri kwenye sehemu nzuri (sio uswahilini sana) lakini pia sio kwa vibopa.

Kama familia itakuwa inatukutegemea 100% then R5500 hazitoshi.

NB: Kupata kazi SA ni kugumu sio kama UK au US, na pia shule yake ni ngumu. Hivyo itakubidi ufunge mkanda kikweli kweli.
 
Back
Top Bottom