WaituWaitu
Member
- Aug 15, 2012
- 41
- 1
Kama mnakumbuka kuwa wizara ya nishati na madini ilitoa udhamini wa elimu kwa wanafunzi 10 watakaosoma petroleum engineering UDOM lakini hadi hivi sasa sijasikia tetesi kuhusu waliofanikiwa kupata huo udhamini naomba anayefahamu au mwenye tetesi anijuze kupitia hili jamvi