Scholarship petroleum engineering -udom

WaituWaitu

Member
Aug 15, 2012
41
1
Kama mnakumbuka kuwa wizara ya nishati na madini ilitoa udhamini wa elimu kwa wanafunzi 10 watakaosoma petroleum engineering UDOM lakini hadi hivi sasa sijasikia tetesi kuhusu waliofanikiwa kupata huo udhamini naomba anayefahamu au mwenye tetesi anijuze kupitia hili jamvi
 
Kama mnakumbuka kuwa wizara ya nishati na madini ilitoa udhamini wa elimu kwa wanafunzi 10 watakaosoma petroleum engineering UDOM lakini hadi hivi sasa sijasikia tetesi kuhusu waliofanikiwa kupata huo udhamini naomba anayefahamu au mwenye tetesi anijuze kupitia hili jamvi

vuta subra kjana!!wizara ya nishati na madini watakaa na udom kuchagua hao wa2 10 mwez october!!so nahc mpaka twnd chuo ndo majina yatatolewa
 
Back
Top Bottom