Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,554
- 11,485
vipi kaka? leo hatuchakachui thread?
Hahahahaaaa
Mtei atatumaliza aisee
Vp ulifika salama maeneo??
vipi kaka? leo hatuchakachui thread?
mh!!! anza kwa kuwasaidia na wewe kwanza!!
Hahahahahahaanaona uko mtaani ukitumia ki-simu.... "like"
Hahahahaaaa
Mtei atatumaliza aisee
Vp ulifika salama maeneo??
namshukuru MUNGU nilifika salama... kuhusu mtei ninajipanga kumuombea tuu... babeli kunaendeka leo?
Teh niko nakurafutia movie kali kabisa...
Vuta subira
Teh hajasema anataka ya Kihindi au kibongo...Kama unataka kali kabisa, jaribu kwenda Tarime kwa walyanchoke na walyanchori.
Itafute "Psycho" ya Alfred Hitchcock.
Angalia kidogo sehemu hii ya "Shower Scene".
sijui hata moja....
Ndo nategemea wataje nikazimuvuzishe.......
Hahahahaaaa hapana...
Dah leo hm mwanzo mwisho lol ila sijajua siunajua mabadiliko huwa yapo...
Vipi wewe Vilale au
Kama unataka kali kabisa, jaribu kwenda Tarime kwa walyanchoke na walyanchori.
Teh we hilo suala la hm si la kushangaa....ah ah haha ha ah ah ah ..... dah... umenipatia kweli!!! na mie leo nipo home tu.... kuna mgeni namsubiri hapa.... hawajambo wadau?
Wameru watatengeneza movie kali sanahapana, akajaribu kuiba ardhi kwa wamelu.....