Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,280
- 8,495
Taarifa zinazoingia hivi punde ni kuwa Basi la SkyLink toka Mwanza kuja Dar limepinduka muda si Mrefu maeneo ya Gairo, likiwa limevuka kidogo eneo hilo. Mtoa habari anasema watu wengi wamefariki na wengi kujeruhiwa wakiwa katika hali mbaya.
Tafadhali Jeshi la Polisi na wadau wengine mlio karibu mjitokeze kwenda kuokoa jahazi na kuwasaidia Wahanga.
Tuendelee kupeana updates
Tafadhali Jeshi la Polisi na wadau wengine mlio karibu mjitokeze kwenda kuokoa jahazi na kuwasaidia Wahanga.
Tuendelee kupeana updates