Ukiweka na gharama za kodi inaweza gharimu sh. Ngap? Contacts za Muuzaji?
Stima hiyo inanikumbusha mbali,ingekuwa siyo LHD,ndugu ningekutafuta,hiyo chassis ingepigwa panga funga terios ngoma inakula nundu lubumbashi.
Vipi pulling zinapatikana ?naona kama vichwa vya semi tu.
hayo yote nayajua,ila ni rahisi kufunga terios kuliko kubadilisha upande.niambie bei yako ya mwiiiiiiiisho kabisa tufunge deal,wanasema gun point price!,halafu pia consider na huo mwaka wake na kodi zake,inaweza ikafika hata 15m kwenye kodi ,kutegemea na yale mapunda ya tra yameamkaje!
kiukweli kodi za bongo haziko fixed, unaweza lipa kuanzia mil 4 mpaka 10 inategemea na agent utakayempata akutolee
Mkuu kodi ya hili ni zaidi ya 10M hakuna mambo ya kukwepa tena ..ingia website ya TRA utakuta form za kodi za magari karibu yote. Agents wasikudanganye