Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,608
- 46,251
Wakati unamkosoa mwanasiasa yoyote usitumie neno AIBU au HAYA. Mwanasiasa akibadilisha msimamo au gia angani ni kwa sababu ameona hiyo itakuwa na manufaa mkubwa kwake kwa kipindi hicho na alihitajika kufanya hivyo.
Wanasiasa wengi au karibia wote hawajali AIBU, kitu kikubwa kwao ni kuendelea kudumisha madaraka.Na ili kuyadumisha madaraka kubadilika badilika kama kinyonga ni njia mojawapo.
Wanasiasa wengi au karibia wote hawajali AIBU, kitu kikubwa kwao ni kuendelea kudumisha madaraka.Na ili kuyadumisha madaraka kubadilika badilika kama kinyonga ni njia mojawapo.