UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 18,067
- 9,457
Inapotokea mtu ambaye haujui ugonjwa wa malaria ukoje na hapohapo anadai kuwa hakuna huo ugonjwa. Basi itakuwa ni vigumu kumthibitishia kuwepo kwa ugonjwa wa malaria hali ya kuwa hajui hata malaria ikoje.
Na ndiyo kitu kinachotokea hapa kwamba mtu hajui uchawi ni nini na anadai kuwa hakuna huo uchawi.
Na ndiyo kitu kinachotokea hapa kwamba mtu hajui uchawi ni nini na anadai kuwa hakuna huo uchawi.