R.I.P Mr. Kihawa na wengine wote waliotangulia. Namkumbuka GANGWE mwl. wa Jiografia, Mabo (marble), Okwonkwo, Domo la shaba, Kingalu, Kisanga, Bujubwa, Semwaiko, Nehemia, Mgase, Mgaza, Prof. Biruko, Sadik, 'wa-kubuzi', Mbuligwe, daaa! Nimekumbuka mbaali sana leo!