HALELUYA MOSHI
JF-Expert Member
- Aug 14, 2014
- 2,121
- 1,205
Hahahaha umenikumbusha jambo kila nkikumbuka najicheka...
Mdada Jirani yetu alikua kila usiku anapiga makele sana kama vile Anakabwa au anaumwa basi namuonea huruma najisemea huyu dada anateseka sana,asubuhi namuhadithia mama na wengine basi wanacheka tu hawajibu kitu hahahahah miaka michache after nlipata jibu bila ya kuambiwa na mtu kumbe yule dada ni orgasm tu makelele yote yale lol
Dada naomba msaada !
Hiv mtu anaitwa orgasm huwa yukoje kwa hiyo mambo